Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe.
Same as nyie mnaojifanya wafuasi wa mfu, Magufuli is dead so as his doings, beliefs and legacies.
It's high time for you to come back to your senses and get used to the new system coz things will never be the same again.
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]