Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Magufuli hakukataza wawekezaji, ila akiweka masharti tu Tanzania pia ifaidi
Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyoWawekezaji hutakiwi kuwawekea masharti magumu,,,acha wafanye biashara zao kama wazawa, muhimu wanalipa kodi za serikali kama mzawa anavyolipa,, Sasa ukimuwekea masharti unadhani atakukalia!!!! Kuna manchi kibao hawana masharti na zinasonga mbele kimaendeleo mfano uganda, kenya n.k. kenya wananufaika mno na mapato ya wawekezaji. Tembea uone kaka
Stop compromising people and let our beloved one rest ease in the eternity!!!.Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe.
Same as nyie mnaojifanya wafuasi wa mfu, Magufuli is dead so as his doings, beliefs and legacies.
It's high time for you to come back to your senses and get used to the new system coz things will never be the same again.
Unataka kusema Kenya hawana masharti ya wawekezaji? Alafu unafikiri sisi watanzania kipimo chetu ni Kenya.Wawekezaji hutakiwi kuwawekea masharti magumu,,,acha wafanye biashara zao kama wazawa, muhimu wanalipa kodi za serikali kama mzawa anavyolipa,, Sasa ukimuwekea masharti unadhani atakukalia!!!! Kuna manchi kibao hawana masharti na zinasonga mbele kimaendeleo mfano uganda, kenya n.k. kenya wananufaika mno na mapato ya wawekezaji. Tembea uone kaka
Tumekuwa kama Mzee Matonya.Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.
Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?
Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Rais Samia amesema haya, nanukuu
Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.
Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...
Mh.Samia(Rais wa JMT) atambue kwamba hatukuwahi kumpigia kura hata moja ya urais. Kila kitu amekipata through virtue and anonymity. She should play safe....sio kuigawa nchi. Hawezi kuwa anatoa kauli za kuiponda awamu ya tano utafikiri hakuwa sehemu ya uozo huo.Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo
Unataka kusema Kenya hawana masharti ya wawekezaji? Alafu unafikiri sisi watanzania kipimo chetu ni Kenya.
Hovyo kabisa.
Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo
Alikopa wapi na kiasi gani?Nyie mlitawaliwa na mtu mwongo, anawadanganya kutwa kuwa anajenga miradi kwa hela za ndani kumbe anakopa. Na wajinga mukamuamini
SSH ni mkweli embe analiita embe haliiti tunda la mwishoni mwa mwaka. Ni mkweli kwa maana hawapi watu anaowaongoza matumaini ya utajiri wa bandia.Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.
Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?
Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Rais Samia amesema haya, nanukuu
Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.
Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...
kwani wewe unaamini vipi?Mwendazake alituambia hii nchi ni Tajiri sana inaweza kuwa donor country.
Sasa imekuaje tena mama anagombea fedha za mabeberu?!
Juzi nilikuwa nasikiliza wimbo alotunga Mbaraka Mwinshehe Mwaruka unohusu kamati kuu ya /TANUCCM kupitisha uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma.Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.
Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?
Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Rais Samia amesema haya, nanukuu
Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.
Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...
Roeland van Geer alikuwa Balozi wa EU hadi November 2018, alirudishwa kwa sababu ya kuzorota mahusiano kati ya Tz na Jumuiya ya Ulaya. Soma zaidi hapo chiniHakusema miradi yote tunajenga kwa fedha za ndani, na ambayo tulikuwa tunakopa alisema
Tanzania kwani haikuwa uhusiano na mataifa mengine kipindi cha Magufuli? Kuna ubalozi ulifungwa Tanzania kisa Magufuli?
Johnny Sack wewe ndiye fala, unamdanganya nani kuwa tulimchagua JPM?Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo
Credit Suisse, AfDB, EADB, Standard Chartered Bank, CRDB (Ikiwakilisha mabenki mengi), Exim Bank of China.Alikopa wapi na kiasi gani?
Mabalozi kurudishwa nyumbani kama wasipofuata protocol za kibalozi ni sawa..ila ubalozi wa EU haukufungwaRoeland van Geer alikuwa Balozi wa EU hadi November 2018, alirudishwa kwa sababu ya kuzorota mahusiano kati ya Tz na Jumuiya ya Ulaya. Soma zaidi hapo chini
European Union envoy recall shakes Tanzania relations
It is President John Magufuli's democratic credentials that are in the limelight.www.theeastafrican.co.ke