Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Magufuli hakukataza wawekezaji, ila akiweka masharti tu Tanzania pia ifaidi

Wawekezaji hutakiwi kuwawekea masharti magumu,,,acha wafanye biashara zao kama wazawa, muhimu wanalipa kodi za serikali kama mzawa anavyolipa,, Sasa ukimuwekea masharti unadhani atakukalia!!!! Kuna manchi kibao hawana masharti na zinasonga mbele kimaendeleo mfano uganda, kenya n.k. kenya wananufaika mno na mapato ya wawekezaji. Tembea uone kaka
 
Wawekezaji hutakiwi kuwawekea masharti magumu,,,acha wafanye biashara zao kama wazawa, muhimu wanalipa kodi za serikali kama mzawa anavyolipa,, Sasa ukimuwekea masharti unadhani atakukalia!!!! Kuna manchi kibao hawana masharti na zinasonga mbele kimaendeleo mfano uganda, kenya n.k. kenya wananufaika mno na mapato ya wawekezaji. Tembea uone kaka
Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo
 
Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe.

Same as nyie mnaojifanya wafuasi wa mfu, Magufuli is dead so as his doings, beliefs and legacies.

It's high time for you to come back to your senses and get used to the new system coz things will never be the same again.
Stop compromising people and let our beloved one rest ease in the eternity!!!.

Yes he is dead....but the visions and the legacy left behind by Magufuli will last for generations.
 
Wawekezaji hutakiwi kuwawekea masharti magumu,,,acha wafanye biashara zao kama wazawa, muhimu wanalipa kodi za serikali kama mzawa anavyolipa,, Sasa ukimuwekea masharti unadhani atakukalia!!!! Kuna manchi kibao hawana masharti na zinasonga mbele kimaendeleo mfano uganda, kenya n.k. kenya wananufaika mno na mapato ya wawekezaji. Tembea uone kaka
Unataka kusema Kenya hawana masharti ya wawekezaji? Alafu unafikiri sisi watanzania kipimo chetu ni Kenya.
Hovyo kabisa.
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


Tumekuwa kama Mzee Matonya.
 
Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo
Mh.Samia(Rais wa JMT) atambue kwamba hatukuwahi kumpigia kura hata moja ya urais. Kila kitu amekipata through virtue and anonymity. She should play safe....sio kuigawa nchi. Hawezi kuwa anatoa kauli za kuiponda awamu ya tano utafikiri hakuwa sehemu ya uozo huo.
 
Mkiumia sana mkichoka jinyongeni wenzenu wengi tuu wanajiua pindi hii!! Hasa Geita ndovifo vyaajabu nje-nje... nakamba jero tuu
 
''Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.''
 
Unataka kusema Kenya hawana masharti ya wawekezaji? Alafu unafikiri sisi watanzania kipimo chetu ni Kenya.
Hovyo kabisa.

Hata kama yapo lakini hayafanani na yakwetu. Wenzetu wanajali na kuthamini wawekezaji,,,sasa wakati wa magufuli na nyerere hawakuonyesha haya.


Huyu mama namwaminia sana, tangu aingie nchi imeanza kupendeza, wawekezaji wanamiminika, vijana wanapata ajira. Huyu ndiye rais wawanyonge.
 
Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo

Ulimchagua kwa ajili hiyo wakati wananchi hawana hela,,,tajiri/mwekezaji akiumia masikini haponi na hata serikali inakoswa kodi, Tangu migodi aifunge wananchi wangapi wamerudi manyumbani!!! Maelfu ya wananchi hawana makazi.


Mama samia tunakuombea afya njema na umri mrefu wewe na familia yako,,umekuja kulikomboa taifa. Hakika wewe ndiye rais wa wanyonge.
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


SSH ni mkweli embe analiita embe haliiti tunda la mwishoni mwa mwaka. Ni mkweli kwa maana hawapi watu anaowaongoza matumaini ya utajiri wa bandia.

Anaitazama sasa yenye uhalisia sio ile baadae ya matumaini ambayo kuifikia ni mpaka tutoke jasho jingi na tuumize sana vichwa vyetu.

Sisi ni tajiri wa rasilimali lakini hatuna bado ujanja wa kuzigeuka rasilimali hizo leo hii zikawa fedha, ni mpaka watu wetu wasomeshwe na wawe na mitazamo ya wanaotafuta kweli utajiri.

Ni kumvimbia mzungu ni kupoteza muda tu, lazima mmoja ajishushe kwa kutumia hekima ili watu wake wafaidike na kinachoweza kupatikana.
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


Juzi nilikuwa nasikiliza wimbo alotunga Mbaraka Mwinshehe Mwaruka unohusu kamati kuu ya /TANUCCM kupitisha uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma.

Serikali ilipaswa kuhakikisha suala hilo ni la kitaifa na wananchi wanaelewa.

Ila JPM alijitahidi kuhakikisha serikali yahamia huko Dodoma lakini hadi leo watu washinda Dar-es-Salaaam na viongozi wengi wanapinga suala hilo.

Raisi Samia ametuangusha sana watanzania tunoamini katika kujitegemea khasa kwenye suala la mikopo ya nje na kutotaka kujitafutia pato la ndani na kubuni vyanzo mbalimbali vya fedha vya ndani.

Januray Makamba nae bungeni hajibu masuali ya msingi kuhusu uhakika wa umeme nchini, hii serikali ina lengo lipi khasa?

Tuhakikishe bwawa la Nyerere linakamilika ili kuondoa tatizo la umeme ambao ukiwepo wa kutosha viwanda vingi9 vitajengwa, ajira zitapatikana, bidhaa za ndani zitazalishwa na pato la taifa GDP litakua.

Serikali ibuni njia mbadala za kupata fedha za ndani tusiwe wavivu na tupunguze kukopa nje.

Twangojea kuona uchaguzi wa 2025 fedha zitatoka wapi, na je leo hii fedha za ndani zote zaenda wapi?
 
Hakusema miradi yote tunajenga kwa fedha za ndani, na ambayo tulikuwa tunakopa alisema
Tanzania kwani haikuwa uhusiano na mataifa mengine kipindi cha Magufuli? Kuna ubalozi ulifungwa Tanzania kisa Magufuli?
Roeland van Geer alikuwa Balozi wa EU hadi November 2018, alirudishwa kwa sababu ya kuzorota mahusiano kati ya Tz na Jumuiya ya Ulaya. Soma zaidi hapo chini

 
Huu ndio ufala alioukataa JPM, kupigia magoti hao wanyonyaji wanaoitwa wawekezaji...na tulinchagua kwa kishindo, Samia asitake kuharibu, sisi tulimchagua JPM kwa ajili hiyo
Johnny Sack wewe ndiye fala, unamdanganya nani kuwa tulimchagua JPM?

Magufuli aliiba kura kibwege!! Hamna namna kwa Tanzania ya leo mgombea anaweza kupata zaidi ya 62%. Eti yeye anadai 80% kwa kura za nani? Ndiyo maana limekufa mapema na likatembezwa mzoga mikoa 5 kudhalilishwa
 
Roeland van Geer alikuwa Balozi wa EU hadi November 2018, alirudishwa kwa sababu ya kuzorota mahusiano kati ya Tz na Jumuiya ya Ulaya. Soma zaidi hapo chini

Mabalozi kurudishwa nyumbani kama wasipofuata protocol za kibalozi ni sawa..ila ubalozi wa EU haukufungwa
 
Back
Top Bottom