Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Sijasikia kwa masikio yangu huyo Samia kasema nini lakini kama amezungumzia masuala ya PPP... yaani Public Private Partnership basi ni kiongozi wa ajabu tu ndie anaweza kukataa PPP katika dunia ya leo!!

The problem watu mlimwamini sana JPM na matokeo yake mkaaminishwa kila anachokisema yeye ni sahihi! Lakini kubwa zaidi, aliyokuwa anawaambia wananchi ni tofauti na ukweli uliokuwa unaendelea serikalini!!

Kwa mfano, chukua mabadiliko haya ya kisheria:-




Ilikuwa ni serikali ya nani hiyo iliyopeleka muswada bungeni kuhusu PPP?!

Na hapo unaambiwa, an Act TO AMEND...

Baada ya hiyo amendment, mwaka 2020 ikatengenezwa regulation:-


Kwenye hizo kanuni husika sio tu zimeelezea Solicited Proposals bali hadi UNSOLICITED PROPOSALS! And what's Unsolicited Proposal?

Regulation husika inafafanua kwamba:-

Kumbe basi, wala sio hadi mradi uwe initiated na serikali! Hata wewe ukiona fursa mahali, unaweza kuandika proposal na kuipeleka serikalini ili hatimae mtekeleze project husika under PPP.

Sasa how come tena unadai JPM alikataa PPP wakati huo huo serikali ilikua inaanda kanuni kuhusu PPP?

BONUS TRACK
Hongera Chige, umejipanga kweli kweli kupangua hoja kitaalamu kabisa!
 
Mkuu unachekesha, yaani Magufuli kaacha miradi inaendelea vizuri, SGR ilikuwa izinduliwe tangia mwaka jana, Bwawa la Nyerere lilikuwa lianze kujazwa maji tangia mwaka jana,

kaingia Samia kavuruga serikali, kavuruga makatibu wakuu, kavuruga mawaziri kaweka watu wake miradi imekwama lawama anatupiwa Magufuli??
Wakati wa JPM ulisikia mgao wa umeme? Ulisikia mgao wa maji? Uliona vitu vikipabda bei namna hii?

Mbona watu mnakuwa vipofu hata kwenye mambo ya wazi kabisa?


Kwanini asiweke wa2 wake? Kila rais anakuja na watu wake bwana, acheni kumpangia mama la mamamama,,,,


Magufuli kuna mambo alifanya mazuri ikiwa SGR , Daraja la busisi, barabara na taa za barabani n.k. lakini kuna mambo mengine kaharibu, hela mtaani imekuwa ngumu, baadhi ya migodi amewafungia na husababisha maelfu ya wa2 hupoteza ajira,,hubambikia wa2 kesi za uhujumu uchumi na kutaifisha mali za watu/majumba
 
Yupo sawa kabisa sema chuki tu. Na anapozidi kubukua ndio mnateseka zaidi mzee baba. Kuweni wapole, wawekezaji wanamiminika nchi itakuwa kiuchumi na maendeleo,, itakuwa kama Emirates
Usawa upi nimeuliza? Nchi imerudi kuwa omba omba huku miradi mingi aliyoiacha Magufuli ikikwama ndio sawa hivyo?
 
Kwanini asiweke wa2 wake? Kila rais anakuja na watu wake bwana, acheni kumpangia mama la mamamama,,,,


Magufuli kuna mambo alifanya mazuri ikiwa SGR , Daraja la busisi, barabara na taa za barabani n.k. lakini kuna mambo mengine kaharibu, hela mtaani imekuwa ngumu, baadhi ya migodi amewafungia na husababisha maelfu ya wa2 hupoteza ajira,,hubambikia wa2 kesi za uhujumu uchumi na kutaifisha mali za watu/majumba
Hii ni serikali ya Magufuli, wananchi walizipenda sera za Magufuli na kumpigia kura pamoja na CCM kwa kishindo
Yeye anatoa watu wa Magufuli na kuweka watu wake ambao wamekuja kuharibu kazi nzuri ya Magufuli, mgao wa umeme umerudi, mgao wa maji, vitu bei juu, tumerudi kutembeza bakuli ulaya.!
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


Ndio ilivyo hata akija Rais mwingine anamponda huyu huyu alimtangulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi waambia Mama ni empty city, hamkuamini, anawaambia pesa zimetengwa ili Waafrica wagombanie atakae wahi achukue nyingi ni aibu kubwa sana,. Yaani Rais Yuko proud kugombania pesa za misaada duh hatari kweli, hivi sera yetu ya kilimo na viwanda iko wapi? , Yaani miaka 60 ya Uhuru hatuwezi hata kusimamia hata miradi midogo kwa pesa zetu za ndani? , Yaani Rais ni zero brain na Hana concept yeyote kuhusu uzalishaji wa nchi yake na kuinua pato LA taifa, kweli hili ni goal, elimu mbovu ndo inatuletea viongozi kama hawa.
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


hivi wafuasi huwa mnanufaika na nini
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


wewe siyo mwanasisiemu usidanganye watu. life Core ya mwanasisiemu ye yote ni unafiki. Ukiona kundi la watu limejaa unafiki ujue hao ni sisiemu. Kama hakuna unafiki hao si sisiemu.
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura.

Tunauliza where is our pride? Maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndiyo maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu?

Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?


Rais Samia amesema haya, nanukuu

Lakini pia tumeweza kukwamua miradi iliyokuwa imekwama, kama mnavyojua katikati hapa tulichokozana kidogo na umoja wa Ulaya uhusiano ukatetereka miradi ikakwama, Lakini tumeshakwamua fedha mradi mmoja umeshatiliwa na mwingine utatiwa hivi punde, kazi zitaendelea.

Kuna fedha nyingi zimetengwa kwa ajili ya Afrika kama Euro Bilioni 150 ambazo hizo sasa ni kinyanganyiro kwa Afrika. Atakayewahi mwanzo kupeleka miradi ya maana ndiye atakayepata fungu kubwa, kwa hiyo nasi tunajitayarisha tumeanza kupeleka...


Na muumizwe mpaka mufe tuwazike kama tulivyomzika mungu wenu wa Chato mliyekuwa mnamuabudu. Nchi yetu haiwezi kuishi kama kisiwa, tunahitaji mahusiano ya kimataifa na kiuchumi.

Nyie mlitawaliwa na mtu mwongo, anawadanganya kutwa kuwa anajenga miradi kwa hela za ndani kumbe anakopa. Na wajinga mukamuamini
 
Hii ni serikali ya Magufuli, wananchi walizipenda sera za Magufuli na kumpigia kura pamoja na CCM kwa kishindo
Yeye anatoa watu wa Magufuli na kuweka watu wake ambao wamekuja kuharibu kazi nzuri ya Magufuli, mgao wa umeme umerudi, mgao wa maji, vitu bei juu, tumerudi kutembeza bakuli ulaya.!

Nchi bila wawekezaji haiendelei
 
Na muumizwe mpaka mufe tuwazike kama tulivyomzika mungu wenu wa Chato mliyekuwa mnamuabudu. Nchi yetu haiwezi kuishi kama kisiwa, tunahitaji mahusiano ya kimataifa na kiuchumi.

Nyie mlitawaliwa na mtu mwongo, anawadanganya kutwa kuwa anajenga miradi kwa hela za ndani kumbe anakopa. Na wajinga mukamuamini
Hakusema miradi yote tunajenga kwa fedha za ndani, na ambayo tulikuwa tunakopa alisema
Tanzania kwani haikuwa uhusiano na mataifa mengine kipindi cha Magufuli? Kuna ubalozi ulifungwa Tanzania kisa Magufuli?
 
Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
zimmerman nenda kamuone daktari wa akili. Yaani ndugu zako wamekufa hujalia, ila DIKTETA wa Chato alipokuga umetoa machozi. Hasara kubwa, jitu lilitaka kuharibu uchumi wetu ufanane na Zimbabwe ndiyo unalililia? Lisa linawajaza propaganda za uwongo
 
Niliwahi waambia Mama ni empty city, hamkuamini, anawaambia pesa zimetengwa ili Waafrica wagombanie atakae wahi achukue nyingi ni aibu kubwa sana,. Yaani Rais Yuko proud kugombania pesa za misaada duh hatari kweli, hivi sera yetu ya kilimo na viwanda iko wapi? , Yaani miaka 60 ya Uhuru hatuwezi hata kusimamia hata miradi midogo kwa pesa zetu za ndani? , Yaani Rais ni zero brain na Hana concept yeyote kuhusu uzalishaji wa nchi yake na kuinua pato LA taifa, kweli hili ni goal, elimu mbovu ndo inatuletea viongozi kama hawa.
Inasikitisha sana mkuu
 
acknowledge uendelee na maisha ukiwa ridig sana utaachwa poti.
 
Back
Top Bottom