[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wee nomaa sana. Hawa wajuba naona tunawapeleka mputa mputaSisi tupo Wakenya ni masikini sana nashangaa sana Wakenya wezangu humu wako wanajisifia tajiri kumbe hamuna kitu.
Kwenye fact acha tuseme kweli toka ashike power Magufuli naona TANZANIA iko mbele yetu na soon itatuacha mbali.
I wish Kenya tuko na Magufuli.
All de best Tanzania na leaders zenu, Wako wanaongoza nchi wenyewe for their benefit of de nation.
Huku kwetu Kenya tunazid kuwa watumwa wa white people, roho iko inaniuma sema siko na jinsi.
I LOVE KENYA
Mbona uo uandishi wa kibongo , vijana wa ccm kwa njaa Kali mmekubuu
Mi niko mkenya kweli karibu Mombasa johLol [emoji23] .....You really tried to type in broken Swahili but your Swahili sanifu still shows. This must be a Tanzanian!!! FYI, the phrases below are Tanzanian lingo:
-β Sisi wakenya bado Sanaβ that bado sana saying is typical TZ vibe!!
- βKenya tunazidβ badala ya Kenya tunazidi. I have noticed Tzanians like leaving out the last β iβ for instance kuwa makin, instead of kuwa makini!!
How stupid can one be to expect people to fall for this? Even a dog knows these are words from a Tanzanian's mouth.Sisi tupo Wakenya ni masikini sana nashangaa sana Wakenya wezangu humu wako wanajisifia tajiri kumbe hamuna kitu.
Kwenye fact acha tuseme kweli toka ashike power Magufuli naona TANZANIA iko mbele yetu na soon itatuacha mbali.
I wish Kenya tuko na Magufuli.
All de best Tanzania na leaders zenu, Wako wanaongoza nchi wenyewe for their benefit of de nation.
Huku kwetu Kenya tunazid kuwa watumwa wa white people, roho iko inaniuma sema siko na jinsi.
I LOVE KENYA
Magufuli is a country bumpkin.Kenya nawapongeza sana kwa kitu kimoja,ninyi siyo masikini wa akili kama sisi Tanzania
Mwaka madili yako uliyoyazoea ya kuuza viungo vya albino, hayapo tena. Magu kaweka kufuli. Hivyo endeleeni kulia na kusaga meno, huku watu wa Mungu albino wakishangilia na kutabasamu.
Sahau kuhusu albino uchaguzi huu, maana mlikuwa mnakiita kipindi hiki eti cha mavuno.
huyu wenzie kina alistotee na juma lokole wamshtuka maboss wa madawa hawapo siku hizi wameamua kufanya biashara nyingine.yeye bado amekaa anasubiri magu ashindwe uchaguzi.