Sisi Wakenya bado sana

Sisi Wakenya bado sana

Mwaka huu madili yako uliyoyazoea ya kuuza viungo vya albino, hayapo tena. Magu kaweka kufuli. Hivyo endeleeni kulia na kusaga meno, huku watu wa Mungu albino wakishangilia na kutabasamu.
Sahau kuhusu albino uchaguzi huu, maana mlikuwa mnakiita kipindi hiki eti cha mavuno.
Hata sijui unazungumzia nini!Nijuavyo mimi mambo ya albino yaliisha enzi za kikwete
 
mbona bado jk atasifiwa mpaka kwa ununuzi wa ndege[emoji38][emoji38][emoji38]
Unajua kusoma?Unaelewa tofauti kati ya kusifia na fact?Mtu akisema kuwa mambo ya albino yaliisha enzi za kikwete hiyo ni kusifia au ni fact?
 
Hata sijui unazungumzia nini!Nijuavyo mimi mambo ya albino yaliisha enzi za kikwete

Sisi hatujui yaliisha lini, ila ninachokumbuka mlimsababishia mpaka Waziri mkuu wa enzi hizo kulia bungeni kwa jinsi mlivyokuwa mnatisha. Kila leo tulikuwa tunawasikia vitu vyenu. Mpaka siku moja nilivyokuwa kwenye subway ubeberuni, nilifikiria kuikana nchi yangu kwa jinsi mlivyokuwa mnatia aibu kwa kuwakata albino mikono na kuua. Niliona beberu mmoja akisoma gazeti lenye ukurasa wa mbele umebeba aibu yenu, picha ya albino aliyekatwa mikono.
 
Sisi hatujui yaliisha lini, ila ninachokumbuka mlimsababishia mpaka Waziri mkuu wa enzi hizo kulia bungeni kwa jinsi mlivyokuwa mnatisha. Kila leo tulikuwa tunawasikia vitu vyenu. Mpaka siku moja nilivyokuwa kwenye subway ubeberuni, nilifikiria kuikana nchi yangu kwa jinsi mlivyokuwa mnatia aibu kwa kuwakata albino mikono na kuua. Niliona beberu mmoja akisoma gazeti lenye ukurasa wa mbele umebeba aibu yenu, picha ya albino aliyekatwa mikono.
Natamani ningeelewa ulichoandika!Anyway, ila haya yote ni matunda ya CCM.Unaongea vitu ambavyo hata sijui ni nini!Ni kama naangalia movie kwenye ndoto ambayo siielewi hivi.Unajaribu kuzungumzia kitu gani?Stori za albino mbona ni za zamani sana?Kwa heri mkuu
 
Natamani ningeelewa ulichoandika!Anyway, ila haya yote ni matunda ya CCM.Unaongea vitu ambavyo hata sijui ni nini!Ni kama naangalia movie kwenye ndoto ambayo siielewi hivi.Unajaribu kuzungumzia kitu gani?Stori za albino mbona ni za zamani sana?Kwa heri mkuu

Kwa hoyo kutoelewa kwako ndiyo matunda ya ccm, what a post hoc fallacy!!!! Acha kujitoa ufahamu na kujifanya hujui, wewe si ulijibu pale kuwa masuala ya albino yaliisha kipindi cha Kikwete. Au umesahau.
😛 😛 😛
Mna machungu na jpm kwa sababu kawapiga pin kwenye ile biashara yenu ya albino organs smuggler.
 
Kwa hoyo kutoelewa kwako ndiyo matunda ya ccm, what a post hoc fallacy!!!! Acha kujitoa ufahamu na kujifanya hujui, wewe si ulijibu pale kuwa masuala ya albino yaliisha kipindi cha Kikwete. Au umesahau.
[emoji14] [emoji14] [emoji14]
Mna machungu na jpm kwa sababu kawapiga pin kwenye ile biashara yenu ya albino organs smuggler.
Wewe ni MATAGA mpumbavu kuliko MATAGA wote!Inawezekanaje unazungumzia leo hii mambo yaliyokuwepo zamani enzi za Kikwete na yakamalizwa enzi hizo?Sijawahi kukutana na mtu mpumbavu kama wewe hapa JF!Yaani unazungumzia leo mambo ambayo kila mtu alishasahau?!
 
Sisi tupo Wakenya ni masikini sana nashangaa sana Wakenya wezangu humu wako wanajisifia tajiri kumbe hamuna kitu.

Kwenye fact acha tuseme kweli toka ashike power Magufuli naona TANZANIA iko mbele yetu na soon itatuacha mbali.

I wish Kenya tuko na Magufuli.

All de best Tanzania na leaders zenu, Wako wanaongoza nchi wenyewe for their benefit of de nation.

Huku kwetu Kenya tunazid kuwa watumwa wa white people, roho iko inaniuma sema siko na jinsi.

I LOVE KENYA
Hiyo kiswahili yako inasema wewe ni ngombe tu ya Kawaida.
 
Wewe ni MATAGA mpumbavu kuliko MATAGA wote!Inawezekanaje unazungumzia leo hii mambo yaliyokuwepo zamani enzi za Kikwete na yakamalizwa enzi hizo?Sijawahi kukutana na mtu mpumbavu kama wewe hapa JF!Yaani unazungumzia leo mambo ambayo kila mtu alishasahau?!

I have already touched your nerves.
😛 😛 😛
Biashara yako kwishaaa, sasa hivi umebakiwa na povu tu. Kiboko ya biashara ya viungo vya albino anafahamika. na ndiye ambaye mnakesha usiku na mchana kumpinga na kumsema vibaya.
 
Qaf avavadadavddadva vac dvv about va acdvdadadad a acabaaadaca davavaddad aac acaaada vavada a davdavadaadavdc dcadvaaaa vvcd adavadcdaaa ac
 
Back
Top Bottom