Sisi wana chadema tunataka kufahamu mabilioni ya Join the chain yapo wapi?

Sisi wana chadema tunataka kufahamu mabilioni ya Join the chain yapo wapi?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Tunaomba majibu sahihi kabla hatujahama chama hiki.
 

Attachments

  • GVcI_HwWoAAKqRw.jpeg
    GVcI_HwWoAAKqRw.jpeg
    65.4 KB · Views: 4
Kwani mapesa yaliyoripotiwa na CAG kuliwa mmewahi kuweka wazi na watuhumiwa kuchukuliwa hatua!!?

Ondoa boriti iliyopo jichoni mwako kwanza!
 
Wewe ni CCM unajidai CHADEMA sasa ninakushauri kawaulize kwanza CCM wenzio mabilioni ya ruzuku wanazochukua serikalini kila mwezi ni kiasi gani wawaambie na halafu waulize viongozi wenu ziko wapi hizo pesa za ruzuku ?? au wamezifanyia nini ?? Baada ya hapo ndo uwarukie CHADEMA
 
Harafu kwa ufisadi huu ndio wanataka tuwape nchi hii duuu
Enzi za mwendazake zile Trilion 1.5 ziliibwa na CHADEMA?

Sasa hivi zile Trilioni 1.7 zilizopotelea kusikojulikana walichukua CHADEMA?

Enzi za Meremeta ama Tangold mpaka zama za bilioni 360 za Tegeta Escrow, ulisikia wanachadema wanahusishwa na huo uchafu wa ufisadi zaidi ya Wana CCM?

Kwenye Orodha ya Luhanga Mpina kuhusu ufisadi unaotokana na vibali vya uagizaji sukari, ulisikia ama kuona Mpina akiwataja CHADEMA?

Hakuna ufisadi unaofanyika nchi hii bila za baraka za CCM ama wana CCM wenyewe kuhusika.
 
Wewe ulichangia shs ngapi?
Toa ushahidi wa ulichochangia!
Kwa ufupi; fedha zilikwenda kutumika kama ilivyokusudiwa.
 
Tahadhari, :-

MAMBO MUHIMU YA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA MBUGA ZETU ZILIZOPO KWENYE MIPANGO YA UHIFADHI NA URITHI WA DUNIA, TUSIGEUZE KUWA MASUALA YA KISIASA, UHIFADHI HAINA UDUGU NA SIASA! TUELEWE HILI.
 
Tahadhari, :-

MAMBO MUHIMU YA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA MBUGA ZETU ZILIZOPO KWENYE MIPANGO YA UHIFADHI NA URITHI WA DUNIA, TUSIGEUZE KUWA MASUALA YA KISIASA, UHIFADHI HAINA UDUGU NA SIASA! TUELEWE HILI.
Watu wamekuwa wakiishi huko kabla na hata ya nyie ccm sjui TANU kuwepo,mnataka kuwatoa watu kwenye maeneo yao ya asili
Kihuni,kibabe acheni hizo

Ova
 
Kwani ulipojiunga ulilazimishwa?🐼
Ok, kwa kuwa hatulazimishwa kujiunga ndio mfanye mambo kiholela holela?, hii ni michango ya kitaasisi au community ni haki kuhojiwa michango ile ilitumikaje katika kuistawisha CHADEMA yetu?.
#Msitufanyie mambo ya mzaha mzaha sisi wanachama, hohoho patachimbika!
 
Back
Top Bottom