RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Kahama silaa, msigwa ije kua ww ginimbi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Kamanda Asiyechoka atakujibu😎Tunaomba majibu sahihi kabla hatujahama chama hiki.
Ndio maana tunasema chama safi kwa wakati huu ni ACT wazalendo!Kahama silaa, msigwa ije kua ww ginimbi
Ndio maana tunasema chama safi kwa wakati huu ni ACT wazalendo!
-chama gani kinachojitabanaisha ni cha kidemokrasia kisicho weza kuhojika, au ukihoja unakuwa hatarini.
Tuna uchungu na hasira sana ndiyo maana tunalizungumzia hilo hapa, hadharani!Si uende makao makuu ya chama ukahoji.
Mchango na Changizo ni vitu viwili tofauti bwashee 😄😄Ok, kwa kuwa hatulazimishwa kujiunga ndio mfanye mambo kiholela holela?, hii ni michango ya kitaasisi au community ni haki kuhojiwa michango ile ilitumikaje katika kuistawisha CHADEMA yetu?.
#Msitufanyie mambo ya mzaha mzaha sisi wanachama, hohoho patachimbika!
Usitutoe kwenye mstari fedha zote lazima zirudi katika mfuko wa chama.Mchango na Changizo ni vitu viwili tofauti bwashee 😄😄
Mchango ni hiyari na haujawekea taratibu, kanuni wala SheriaUsitutoe kwenye mstari fedha zote lazima zirudi katika mfuko wa chama.
Kwa sababu tulichangia kwa hiyari ndiyo tuogope kuhoji? Matumizi yake?Mchango ni hiyari na haujawekea taratibu, kanuni wala Sheria
Kanisani unahoji Matumizi ya Sadaka?Kwa sababu tulichangia kwa hiyari ndiyo tuogope kuhoji? Matumizi yake?
AKILI zako zote kuhalalisha ulaji wa fedha kwa njia salama 😊Kanisani unahoji Matumizi ya Sadaka?
Kwaiyo fedha za join the chain zimepigwa na CCM kwaiyo chadema mnashindana na CCM kufanya ufisadi. Sasa kama chadema mmeshindwa kuonyesha uaminifu kwa visenti si mkikabidhiwa hadhi na je?Enzi za mwendazake zile Trilion 1.5 ziliibwa na CHADEMA?
Sasa hivi zile Trilioni 1.7 zilizopotelea kusikojulikana walichukua CHADEMA?
Enzi za Meremeta ama Tangold mpaka zama za bilioni 360 za Tegeta Escrow, ulisikia wanachadema wanahusishwa na huo uchafu wa ufisadi zaidi ya Wana CCM?
Kwenye Orodha ya Luhanga Mpina kuhusu ufisadi unaotokana na vibali vya uagizaji sukari, ulisikia ama kuona Mpina akiwataja CHADEMA?
Hakuna ufisadi unaofanyika nchi hii bila za baraka za CCM ama wana CCM wenyewe kuhusika.
Wewe siyo mwanachademaTunaomba majibu sahihi kabla hatujahama chama hiki.
Muulize CAG aliyetoa hati safiTunaomba majibu sahihi kabla hatujahama chama hiki.
-ACHA NA MAHESABU YA FEDHA ZA RUZUKU -Muulize CAG aliyetoa hati safi
1. Wewe ni CCM, tunakujua-ACHA NA MAHESABU YA FEDHA ZA RUZUKU -
Tunataka hesabu ya fedha hizi za join the chain, mbona mnatufanya sisi wanachama mamburura?