Sisi wana chadema tunataka kufahamu mabilioni ya Join the chain yapo wapi?

Kahama silaa, msigwa ije kua ww ginimbi
Ndio maana tunasema chama safi kwa wakati huu ni ACT wazalendo!
-chama gani kinachojitabanaisha ni cha kidemokrasia kisicho weza kuhojika, au ukihoja unakuwa hatarini.
 
Mkifanya vituko mnakimbilia kujificha kwenye kichaka Cha CHADEMA.
 
Tarehe 5/9/2024 Tunahughulikia kibali polisi ili tuandamane kuhoji kuhusu fedha za join the chain, hatuna utani.
 
Ndio maana tunasema chama safi kwa wakati huu ni ACT wazalendo!
-chama gani kinachojitabanaisha ni cha kidemokrasia kisicho weza kuhojika, au ukihoja unakuwa hatarini.

Si uende makao makuu ya chama ukahoji.
 
Mchango na Changizo ni vitu viwili tofauti bwashee 😄😄
 
Kwaiyo fedha za join the chain zimepigwa na CCM kwaiyo chadema mnashindana na CCM kufanya ufisadi. Sasa kama chadema mmeshindwa kuonyesha uaminifu kwa visenti si mkikabidhiwa hadhi na je?
 
-ACHA NA MAHESABU YA FEDHA ZA RUZUKU -
Tunataka hesabu ya fedha hizi za join the chain, mbona mnatufanya sisi wanachama mamburura?
1. Wewe ni CCM, tunakujua
2. Naomba uniwekee hapa kifungu kinachosema kuwa CAG anakagua ruzuku tu!
 
Ya CHADEMA waachiwe CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…