Sisi wana JF tunaomba Pasco Mayala ateuliwe hata afisa mtendaji kata. Hatujapenda

Sisi wana JF tunaomba Pasco Mayala ateuliwe hata afisa mtendaji kata. Hatujapenda

Pasco ni muhimu sana kwa ccm na jamiiforum pia akiwaga 🌟 tv anatupaishaga sana jamiiforum.
 
Pasco mayala ni kaka yetu na nguli mtabe wa habari kutokupata teuzi huku anazeeka hatujapenda kwakweli.

Superbug
Wenzako wanawafagilia vigogo ili hapo baadae labda watakumbukwa kwenye teuzi wewe unamfagilia mtanzania wa kawaida Pascal Mayalla

Kweli nchi ngumu sana hii kuielewa

Japo kwa kusoma katikati ya mistari naona kama humfagilii bali unambeza...

Tutafika tu lakini
 
Kajitafakari. Chukua kamusi. Tafuta neno kulalamika. Linganisha na sentence yangu,kama vinaendana na kukalamika,then rudi hapa niambie tena mama​
Okay...
Kusupport ile argument yako ya selection ya Viongozi Zanzibar wanapendelewa ungeonyesha katika asilimia. And before hujafanya hivyo kumbuka Zanzibar sio kama Mtwara, Mwanza au Tabora katika Muundo wa Serikali ya Muungano inaweza kutoa mpaka 50% ya viongozi. Now endapo figure utakayokuja nayo ya wateule toka Zanzibar ni less than 50% ya viongozi wote your argument is invalid.

NB: I will give you a benefit of doubt na kuassume hukujua gender yangu sababu JF haina sehemu inayo onyesha gender ya member. Gender yangu ni Male ndugu Swet-R​
 
Back
Top Bottom