Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaPasco mayala ni kaka yetu na nguli mtabe wa habari kutokupata teuzi huku anazeeka hatujapenda kwakweli.
Superbug
Mkuu sumbai , amen!.Mungu ambariki kaka Pascal Mayalla
Mkuu Gweregwere, asante kunianzishia uzi, nina jambo languPasco mayala ni kaka yetu na nguli mtabe wa habari
Mkuu Gweregwere , kwanza asante kunianzishia uzi, pili naomba hizi sala zako sasa uzielekezee katika jambo letu hili.Pasco mayala ni kaka yetu na nguli mtabe wa habari kutokupata teuzi huku anazeeka hatujapenda kwakweli.
Superbug
Mkuu Tapaiko Namkeho , asante kuniombea uteuzi, hili jambo langu ni leo!.Pasco mayala ni kaka yetu na nguli mtabe wa habari kutokupata teuzi huku anazeeka hatujapenda kwakweli.
Superbug
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.Tumuombee mwanaJF Pascal Mayalla apitishwe
Wote tuseme Amen!
Mkuu Superbug , asante kuniombea uteuzi. Kitu muhimu kwa kila Mtanzania ni uzalendo wako kwa nchi, fanya kazi kwa bidii, lipa kodi, jenga nchi, na ili kuisaidia nchi yako sio lazima mpaka uteuliwe kuwa somebody. Hivi hivi nilivyo nobody, bado naweza kuisaidia nchi yangu!. Mfano mwaka huu wa 2023 nimeshauri Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?Pasco mayala ni kaka yetu na nguli mtabe wa habari kutokupata teuzi huku anazeeka hatujapenda kwakweli.
Superbug