Sisi binadamu tunakula ili tusife..
Sababu: brain iko programmed kuzuia kifo kwa namna yoyote ile.. kwahio mwili ukikosa glucose ya ku-run brain brain inampa taarifa tumbo ili asikie njaa ili mtu uwe motivated kula. (Hapa umeona njaa sio sababu ya kula sababu kabisa ni brain kukosa glucose na baseline sababu ni hofu ya kifo).
With time binadamu wenyewe tukaanza kutafuta maana zetu wenyewe na justification za kula.. ndio baadhi wanatafsiri kula kama enjoyment lakini mwisho wa siku woote tunakula tusife tu
Well saidSisi binadamu tunakula ili tusife..
Sababu: brain iko programmed kuzuia kifo kwa namna yoyote ile.. kwahio mwili ukikosa glucose ya ku-run brain brain inampa taarifa tumbo ili asikie njaa ili mtu uwe motivated kula. (Hapa umeona njaa sio sababu ya kula sababu kabisa ni brain kukosa glucose na baseline sababu ni hofu ya kifo).
With time binadamu wenyewe tukaanza kutafuta maana zetu wenyewe na justification za kula.. ndio baadhi wanatafsiri kula kama enjoyment lakini mwisho wa siku woote tunakula tusife tu