Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,346
- 1,221
Wakuu habari za shughuli,nazani ni njema wakuu.
Kuna hii ishu tumekuwa tukibishana bila mafanikio ,kwa humu jf naamini ntapata mwanga.
Ni swali ambalo lilizua utata maeneo fulani.
Swali lenyewe ni kama ifuatavyo.
1.Sisi wanadamu tunakula chakula ili tusife?
2.Au tunakula chakula ili tuishi?
3.Au tunakula ili tushibe?
Lipi jibu sahihi?
Na ni kwanini liwe hilo jibu ulilotoa?
Jibu lako liwe nasababu.
Majibu yenu yanahitajika.
© Bin Shaib Classic 2020.
Kuna hii ishu tumekuwa tukibishana bila mafanikio ,kwa humu jf naamini ntapata mwanga.
Ni swali ambalo lilizua utata maeneo fulani.
Swali lenyewe ni kama ifuatavyo.
1.Sisi wanadamu tunakula chakula ili tusife?
2.Au tunakula chakula ili tuishi?
3.Au tunakula ili tushibe?
Lipi jibu sahihi?
Na ni kwanini liwe hilo jibu ulilotoa?
Jibu lako liwe nasababu.
Majibu yenu yanahitajika.
© Bin Shaib Classic 2020.