Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika siku za hivi karibuni kuna uongezeko wa watoto wakike na sababu kubwa ni sisi wanaume kwa kutokuwa makini sana!
Moja ya tatizo ni kutokuwa waaminifu katika ndoa kitendendo kinacho sababisha kuwa na mbegu hafifu kstiks mfumo wa uzazi!Kifupi kwakuwa tunatumika sana na kusababisha kuwa na uwezo mdogo wa mbegu zenye shibe za kuweza kupata mtoto wa kiume!
Pili ni kazi nyingi hii hasa ikichangiwa na ugumu wa maisha!
Tatu ni kwasababu tumekuwa tunaendekeza vinywaji!Mpaka unaporundi nyumbani kwako ushakunywa pombe sirahisi kupata mtoto wa kike matokeo yake utaishia kuwa na watoto wa kike!
Hivyo tukae na familia zetu tupange wakati wakuhitaji mtoto tujizuie na vitu hivi ,Pombe, michepuko ya nje, kazi nyingi na misongo ya mawazo!Angalau kwa miezi miwili.
Matokeo yake tutapata watoto wa kiume pia kwa kuzingatia mzunguko wa siku za mwanamke.
Halafu uache mtindo wa kumlalia mkeo.
Mtoto wa kiume analetwa na Doggy style.
Na wenye vibamia wengi hawawezi hii style...kwa hiyo vibamia ndio chanzo cha watoto wa kike.
Ina maana hata huyo aliyekuzaa wewe ni zao la mbegu hafifu....??
mkuu angalia vizuri uzi wako, hapo umetukana mama zako, shangazi zako, dada zako, bibi zako, etc
ina maana michepuko ina sababisha watoto wa kike...?
Katika siku za hivi karibuni kuna uongezeko wa watoto wakike na sababu kubwa ni sisi wanaume kwa kutokuwa makini sana!
Moja ya tatizo ni kutokuwa waaminifu katika ndoa kitendendo kinacho sababisha kuwa na mbegu hafifu kstiks mfumo wa uzazi!Kifupi kwakuwa tunatumika sana na kusababisha kuwa na uwezo mdogo wa mbegu zenye shibe za kuweza kupata mtoto wa kiume!
Pili ni kazi nyingi hii hasa ikichangiwa na ugumu wa maisha!
Tatu ni kwasababu tumekuwa tunaendekeza vinywaji!Mpaka unaporundi nyumbani kwako ushakunywa pombe sirahisi kupata mtoto wa kike matokeo yake utaishia kuwa na watoto wa kike!
Hivyo tukae na familia zetu tupange wakati wakuhitaji mtoto tujizuie na vitu hivi ,Pombe, michepuko ya nje, kazi nyingi na misongo ya mawazo!Angalau kwa miezi miwili.
Matokeo yake tutapata watoto wa kiume pia kwa kuzingatia mzunguko wa siku za mwanamke.
Uongo tukuka huuKatika siku za hivi karibuni kuna uongezeko wa watoto wakike na sababu kubwa ni sisi wanaume kwa kutokuwa makini sana!
Moja ya tatizo ni kutokuwa waaminifu katika ndoa kitendendo kinacho sababisha kuwa na mbegu hafifu kstiks mfumo wa uzazi!Kifupi kwakuwa tunatumika sana na kusababisha kuwa na uwezo mdogo wa mbegu zenye shibe za kuweza kupata mtoto wa kiume!
Pili ni kazi nyingi hii hasa ikichangiwa na ugumu wa maisha!
Tatu ni kwasababu tumekuwa tunaendekeza vinywaji!Mpaka unaporundi nyumbani kwako ushakunywa pombe sirahisi kupata mtoto wa kike matokeo yake utaishia kuwa na watoto wa kike!
Hivyo tukae na familia zetu tupange wakati wakuhitaji mtoto tujizuie na vitu hivi ,Pombe, michepuko ya nje, kazi nyingi na misongo ya mawazo!Angalau kwa miezi miwili.
Matokeo yake tutapata watoto wa kiume pia kwa kuzingatia mzunguko wa siku za mwanamke.