Sisi Wanaume wa Dar leo hii tumesimama hapa Kuwapa ukweli Halisi. Dar Vs Mikoani Battle is around

Sisi Wanaume wa Dar leo hii tumesimama hapa Kuwapa ukweli Halisi. Dar Vs Mikoani Battle is around

Hili ndlo tunalo liweza dahh!!! Inasikitisha sana mtu na akili yako unashupaza kiuno kuandika huu ujingaaa dahhh[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji47]
 
wanaume wa dar ni mabashite tu, chipsi yai hazijawahi mfikisha mwanamke mawenzi au kibo.
yaaaan ni kazi sana kumtofautisha mwanaume wa dar na demu.
 
Following....
5fc54abbc07e7addfdd33993d6cc6c5d.gif
d36cf418cdf56a7361a78555006758d6.jpg
706ff448626c374d75f4aac66aabdfd3.jpg
846445910a8ddb80a66f69d5dcb1c41b.jpg
552fa0546a3b572667568e29c4da2cac.jpg
 
mimi nimezaliwa na kukulia huku na nimetembea karibia mikoa yote ya tanzania.
Lakini ww ni wa Dar au ni wa kule umekulia huku. Mana sisi wa Dar hatuna time ya kushindana na hawa wa mikoani. Mana hawa ndo Magu huwaita wananchi wanyonge anaowatetea. Tunaanzaje kuwapa mademu wetu kwa mfano.... hata Kwa dakika moja
 
Napenda kuwaambia kabisa ninyi wa mikoani ambao huwa mnakuja huku mna breath mbaya na mnanuka kikwapa. ingawa nyie ndo inaendeshwa.katika suala la kugegeda.

"TANGU LINI JOGOO LA SHAMBA LIKAWIKA MJINI"
mkuu naomba namba kundi la wanaume wa dar.
 
Nilishasema wanaume wa Dar n janga kubwa kwenye 6×6ss mtu anakula mishikaki 2 na wali wa plastis mara utajibust na vipweza, vimihogo na karanga 7 za diamond mtu km huyu n mzembe kuanzia kitandan kazin na kila kona ya utendaji wa kazi kiufupi goigoi[emoji16][emoji23][emoji2]
 
Wanaume wa Dar mnaongea sana, matendo sifuri..

Kila mahali kibao cha waganga wa kuongeza nguvu za kiume, supu ya pweza za kubusti u.boo, juisi ya tende ya kuongeza urijali. Karanga mbichi jumlisha mihogo mibichi, dawa za wamasai na bila kusahau vumbi la kongo huko Dar kwenu ndio kwenye soko kubwa..

Hamuwezi kutomba bila ya kutumia chochote!!!
Mi kweli mkuu, msongamano wa wanawake toka mkoa ni mkubwa, pia mjini ndo kwenye pesa hivyo kukutana na mataperi ni kawaida, mkoani mtatoa wapi pesa ya kununua hizo dawa kuwavutia waganga?
 
Back
Top Bottom