Ndio maana uko CCM, utakua wa ujombani weweSawa mpare mwenzangu, ila me ckuwa na akili darasani cjui kwanini
Hahahaha Wambugu wako na akili sana sana!! Huyu atakua wa ujombani huyuWewe utakuwa mmbugu🤣🤣🤣
Bro wapare ni wasambaa waliokimbia na chief kimweri kutoka usambara na kukimbilia Same. Walikimbia wajerumani.
Huo u Israel mmeupata wapi?
#YNWA
Mama mtu wa mbeya faza mpareNdio maana uko CCM, utakua wa ujombani wewe
Ndio maanaMama mtu wa mbeya faza mpare
Ila mkuu nilikuaga vizuri kinoma darasani wakaja kunifanyia husda nisifanikiwe kielimuNdio maana
Badilisha mindset, huenda hicho ni kikwazo kikubwa zaidi kwakoIla mkuu nilikuaga vizuri kinoma darasani wakaja kunifanyia husda nisifanikiwe kielimu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sawa mkuuBadilisha mindset, huenda hicho ni kikwazo kikubwa zaidi kwako
Vapare ni vediYaeza kuwa ni kweli ila ilio kweli zaidi ni kuwa pisi zenu wote nyuma wanalingana
[emoji23][emoji23] ni joke's tu mandhee
Ombe hiyokoBro wapare ni wasambaa waliokimbia na chief kimweri kutoka usambara na kukimbilia Same. Walikimbia wajerumani.
Huo u Israel mmeupata wapi?
#YNWA
Asili ya Wapare ni Israel??Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.