sawaNimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
Kaul HYo ata mkuu aliion kabla ya hiii 5 tenaNyinyi ni watani kijadi, ila ukiona mtu anasema maneno kama mimi ndiyo baba kwenye hii familia, basi ubaba wake ni wakutia shaka.
nakubaliana nawe 100%, pia wanaoana zaidi kati yao vs makabila mengine...chunguza utapata jibu!.Siku zote ukiona hayo makabila mawili yanasemana (chaga and pare ) sio kweli Mana ni watani mno Tena wanapendana sana tu
nakubaliana nawe 100%, pia wanaoana zaidi kati yao vs makabila mengine...chunguza utapata jibu!.
Hata Sisi waluhya wa Kenya ni wa uzao waYakobo maana wa Isaaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
huu ni utani kati ya watani wa jadi wapare vs wachaga. pia wapare siyo watu wa kaskazini bali watu wa mashariki.Wakaskazini mmezidi ukabila. Walianza wachaga kwa kujisifu, kujiona bora zaidi na kuwabagua makabila mengine na nyie wapare mliwasapoti kwa kuwa ni wakaskazini wenzenu. Sasa leo na nyie wakaskazini mnaanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe tena. Yetu macho na masikio[emoji3][emoji3]
Sio
Sio kweli unaowasema ni wambugu labda wapare wametokea Kenya
Mretonga teng'ola Masha mweteni.wapare asili yao ni wataita na wakamba ndiyo maana utakuta majina kama kilonzo, na mangare, wako kenya na tanzania. pia wapare ni mchanganyiko na makabila kama wazigua, wasambaa, na wachaga.
mwana wa mkiva, ethibanda.
na ya nyuma iravusha teri.
kurongora kwa fua, ethiko kumanya vingi.
muitango tuedawa, chedawa ni mburi.
Mretonga teng'ola Masha mweteni.
kusoma sana ni uoga wa maisha. Pamoja na kusoma kote huko wapare ni masikini kuliko wachaga. Nna petha jedima sheija mbureNimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
Yeah Hilo eneo nshawahi kuliskia .... me nimezaliwa same ..Ila kiasili ni mchagaHao walipokuja same walikuja na wasomali ambao walidharaulika ndio waliitwa wambugu na kulikuwa na Vita ambayo mpaka Leo Kuna eneo linaitwa kava mbughu . Wanaojua zaidi wataeleza kuhuhusu kava mbughu
mtoa mada amelenga kuendeleza utani baina ya wapare na ndugu zao wachaga. kwa uelewa kila jamii hapa tz na ulimwenguni kwa ujumla ina watu wenye sifa mbalimbali[mbaya na nzuri] zikiwemo sifa za akili, uchapakazi, wizi, uvivu, nk nk.Kwa utafiti ulioufanya sijui kama ulipata majibu sahihi, maana wachaga nao Wana akili mno!!! Na hata kama hajasoma Wana akili ya utafutaji tofauti na wapare ni wazito kujiahughulisha!!!