Sisi wapare tuna akili za darasani kuliko wachaga

Mzee Abduli ana akili? Kulea kote mimba kumbe si yake.
 
Kuna siku kulikuwa na mkutano shule flani Isee ulikua mkutano wa wazazi, sasa wazazi walifika lkn tatzo lenyewe likajitokeza ipi tofauti kati ya mzazi na mwanafunzi, ikabidi coordinator wa mkutano awaulize wazazi wakowapi!! Bas wakajib kuwa ni "thithi thithi" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…