Sisi Wasabato tunasherehekea Mwaka Mpya saa kumi na mbili jioni

Sisi Wasabato tunasherehekea Mwaka Mpya saa kumi na mbili jioni

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Sisi tunaangalia mwaka wa Biblia sio mwaka wa kidunia.

Ikawa asubuhi ikawa jioni siku mpya. Kwenye biblia hamna ikawa asububi ikawa usiku siku mpya. Hayo ya Usiku ni mambo ya Kidunia

Heri ya Mwaka mpya 2025
Screenshot_20241231_212550_Chrome.jpg
 
Si kweli.
Ukweli ni kwamba Waadventista wasabato huhesabu siku mpya pale jua linapo zama na si saa 12 kama watu wengi wanavyo dhani.

Ikitokea jua limezama saa 1 basi huo ni mwanzo wa siku mpya, likizama saa 11 halkadhalika.
 
Nyie mna ugonjwa wa akili na ukosefu wa elimu ya jiografia, hizi tarehe na masaa ni Symbolic tu, kuleta uniformity tu, sio kwamba ni mwaka mpya kweli, kwani hakuna anaejua kama huyo yesu kazaliwa miaka 2025 iliyopita kweli, ila imechaguliwa tu siku na muda kwa makubaliano tu ya kuleta uniformity. Ndio maana hata time zones tumekubaliana tu, kwamba miji flani na miji flani itatukiabtime zone flani, sio kwamba wote tupo kwenye exact ‘longitude’. , sasa badala kuwa uniform kama ilivyokusudiwa mnataka kujiona bora zaidi na kuwa tofauti, fuk off.
Uniformity katika tarehe na siku ni muhimu ili watu waweza kupanga ratiba za matukio na appointment bila kupishana, tukisema hatusi ni tarehe flani muda falni, lengo ni wote tukutane kwa wakti mmoja kufurahi pamoja, sasa wewe ukileta ujuaji utafika kabla kabla au baada sherehe, kisa tu kujion bora na unajua zaidi..
 
Anhaa kumbe!

Naomba unijibu swali hili, hua linanichanganya sana;

Kwa hesabu hiyo uliyoitumia, Itumie kunielekeza inaingiaje kwenye Yesu kufa Ijumaa saa9 na kufufuka Jumapili asubuhi?

Siku3 zenye mchana na usiku zinaingia vipi hapo Msabato?
 
1735709483572.png

Mimi nimeanza mwaka mpya 2025 saa moja kamili asubuhi hii
 
Anhaa kumbe!

Naomba unijibu swali hili, hua linanichanganya sana;

Kwa hesabu hiyo uliyoitumia, Itumie kunielekeza inaingiaje kwenye Yesu kufa Ijumaa saa9 na kufufuka Jumapili asubuhi?

Siku3 zenye mchana na usiku zinaingia vipi hapo Msabato?
Saa 9 jioni hadi jua kuzama siku ya Kwanza.

Siku ya Sabato siku ya pili

Siku ya jumapili alipofufuka siku ya tatu!

Wasabato hatuna issue ya masaa 24, Bali jua kuzama na kuchomoza!!
 
Sisi tunaangalia mwaka wa Biblia sio mwaka wa kidunia.

Ikawa asubuhi ikawa jioni siku mpya. Kwenye biblia hamna ikawa asububi ikawa usiku siku mpya. Hayo ya Usiku ni mambo ya Kidunia

Heri ya Mwaka mpya 2025
View attachment 3189581
Si huwa mnasema mwaka wenu unaanza na kuisha wakati wa makambi!!!
 
Saa 9 jioni hadi jua kuzama siku ya Kwanza.

Siku ya Sabato siku ya pili

Siku ya jumapili alipofufuka siku ya tatu!

Wasabato hatuna issue ya masaa 24, Bali jua kuzama na kuchomoza!!
Mbona siku ya saba "Sabatho" - Jumamosi inafuata mtiririko wa masaa24?

Yaani Jumamosi ya sabatho inehesabiwa kuwa ni siku ya 7 baada ya kupita siku 6 zenye urefu wa masaa24 kila moja usiku na mchana.

Hii imekaa vipi? Kwanini siku3 za Yesu kufa hazikua siku3 mchana na usiku kama andiko hili lilivyotaka iwe 👇👇

Screenshot_20250101-085816~2.png


Mnijibu swali hili Zamaulid na figganigga
 
Sisi tunaangalia mwaka wa Biblia sio mwaka wa kidunia.

Ikawa asubuhi ikawa jioni siku mpya. Kwenye biblia hamna ikawa asububi ikawa usiku siku mpya. Hayo ya Usiku ni mambo ya Kidunia

Heri ya Mwaka mpya 2025
View attachment 3189581
Kwa maana hyo siku Moja Ina masaa mangap!? Inaanza sangap na kuishia snagap
 
Mbona siku ya saba "Sabatho" - Jumamosi inafuata mtiririko wa masaa24.

Yaani Jumamosi ya sabatho inehesabiwa kuwa ni siku ya 7 baada ya kupita siku 6 zenye urefu wa masaa24 kila moja usiku na mchana.


Hii imekaa vipi? Zamaulid
Mkuu we kumbuka jua kuchomoza na kuzama!
 
Si kweli.
Ukweli ni kwamba Waadventista wasabato huhesabu siku mpya pale jua linapo zama na si saa 12 kama watu wengi wanavyo dhani.

Ikitokea jua limezama saa 1 basi huo ni mwanzo wa siku mpya, likizama saa 11 halkadhalika.
Ukienda northern pole,kule inaweza kata hata miezi 6 jua halijazama au miezi 6 jua halijaonekana je wasabato huwa wanasimama kuhesabu siku au maeneo kama hayo uhesabuji wa siku zao za ikawa asubuhi ikawa jioni unakuwaje?
 
hii dunia kuna watu wana mambo ya ajabu sana. yani abarikiwe sana aliyebuni utawala wa sheria maana vinginevo ingekuwa sehemu hatarishi sana kwa binadam kuishi. imagini mawazo ya kijinga kama haya.
 
Back
Top Bottom