Vijana wenu hao hawahusiki na kuwalinda wananchi wa Tanzania? Make kuna watu wameshambuliwa sana hapa nchini kama Tundu Lisu, Prof yule wa Sheria, Dr Ally Kibao, au wao ndiyo wasiyojulikana.Panga wewe halafu nenda, ndugu zako watakuzika bila usumbufu, shida mnaleta dharau kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, nakuhakikishia tuna vijana wana uwezo mkubwa sana hapa Tanzania wewe jichanganye
Vikosi vya ulinzi na usalama vina Department nyingi sana, acha kufananisha Lissu na kiongozi wa nchi , ulinzi wao ni tofauti, hata US kuna ulinzi mkali sana lakini Kenedy alipigwa risasi na Trump alipigwa risasi ya sikio, makosa yapo ila haina maana kuwa US sio bora kwenye ulinziVijana wenu hao hawahusiki na kuwalinda wananchi wa Tanzania? Make kuna watu wameshambuliwa sana hapa nchini kama Tundu Lisu, Prof yule wa Sheria, Dr Ally Kibao, au wao ndiyo wasiyojulikana.
Hili hata mimi bado najiuliza sijapata jibu!Masoko gani yaliyofungwa?
Watanzania wengi kwa uchafu ni wachafu hasa, isipokuwa Moshi,Nilijua wageni wanapokuja ni fursa kwa wenyeji nilidhani watanzania watafundishwa namna nzuri ya kufanya biashara zao na kunufaika na wageni wanapokuja badala yake sisi hatujui kujiweka smart na kuuweka mji wetu smart sasa tunatimuliwa mabarabarani huko sisi ni Wachafu tutaharibu sifa ya nchi yetu nzuri ,Iko siku watakuja viongozi wa Dunia akina Putin ,Kim jong UN ,watakuja kutuambia twende kwa muda rufiji mwanalomango huko ili kupisha wageni la mkuu limesikika
Dodoma au Moshi una Hotel za kuwalaza hao wageni? Hivi unajua kila Rais wa nchi anakuja na kundi la watu wapi? Bado makamu wa Rais na Mawaziri wakuu? Hapo hujataja watu mashuhuri, wafanyabiashara na viongozi wa Taasisi za kitaifa na kimataifa? Tupunguze ujuajiKatika mkoa mchafu Tanzania ya kwanza ni Dar.
Huo mkutano bora wangepeleka Moshi au Arusha au hata Dodoma.
Dar posta tu ile ukishuka chini hapa kwenye fukwe unaweza jiuliza marambili sisi waTz tuna shida gani kila kitu chetu ni hovyo.
Yaan,Dar jiji lina kila harufu mbaya unayoijua huku Duniani.
Mamlaka zilitazame sana hili jambo.
Halafu Serikali mbona kuna mikoa wanaitelekeza na inaweza kuwa na potential sawa na Dar , mfano Tanga, Lindi na Mtwara.
Kama hamzaa ilitumika nguvu kubwa ilitakiwa akamatwe akiwa HAI.Panga wewe halafu nenda, ndugu zako watakuzika bila usumbufu, shida mnaleta dharau kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, nakuhakikishia tuna vijana wana uwezo mkubwa sana hapa Tanzania wewe jichanganye
Wale ni polisi wa kawaida ndio maana nikasema vyombo vya ulinzi na usalama vina idara nyingi, tuna vijana wako vizuri sanaKama hamzaa ilitumika nguvu kubwa ilitakiwa akamatwe akiwa HAI.
nyinyi mkamimina marisasi ovyo OVYO pale angetakiwa aambiwe ajisalimishe .
Kwa kua hakuna na akili hizo mka Angua PAPAI KWA KUTUMIA GOBOLE.
Sasa siku G5 wakijakufanya ziara Tz si wote tutaambiwa tujifungie majumbani hakuna kutoka nje labda tuchungulie madirishani.Nilijua wageni wanapokuja ni fursa kwa wenyeji, nilidhani watanzania watafundishwa namna nzuri ya kufanya biashara zao na kunufaika na wageni wanapokuja badala yake sisi hatujui kujiweka smart na kuuweka mji wetu smart sasa tunatimuliwa mabarabarani huko sisi ni Wachafu tutaharibu sifa ya nchi yetu nzuri ,Iko siku watakuja viongozi wa Dunia akina Putin, Kim jong UN ,watakuja kutuambia twende kwa muda Rufiji Mwanalomango huko ili kupisha wageni la mkuu limesikika
Tumeambiwa kariakoo tu ndio huduma zitaendelea maana yake biashara zotePanga wewe halafu nenda, ndugu zako watakuzika bila usumbufu, shida mnaleta dharau kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, nakuhakikishia tuna vijana wana uwezo mkubwa sana hapa Tanzania wewe jichanganye
Kwamba viongozi wakufanye wewe usiwe mchafu? Au mimi ndio sijakuelewa maana unakuta kubwa zima linakunywa maji ndani ya gari au daladala akimaliza anatupa chupa ya maji barabani kupitia dirishani. Hapo kiongozi anahusikaje na uendawazimu wa kubwa jinga kama huyu?Sasa kama viongozi hawajali huo usafi utatokea wapi?!
Wagange wapone ndugu MganguziNilijua wageni wanapokuja ni fursa kwa wenyeji, nilidhani watanzania watafundishwa namna nzuri ya kufanya biashara zao na kunufaika na wageni wanapokuja badala yake sisi hatujui kujiweka smart na kuuweka mji wetu smart sasa tunatimuliwa mabarabarani huko sisi ni Wachafu tutaharibu sifa ya nchi yetu nzuri ,Iko siku watakuja viongozi wa Dunia akina Putin, Kim jong UN ,watakuja kutuambia twende kwa muda Rufiji Mwanalomango huko ili kupisha wageni la mkuu limesikika
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwani uongo? Watu hawaogi wanavaa malapulapu! Hata Makonda aliwahi kuweka zuio la kwamba usipooga huruhusiwi kwenye mitaa ya kati ya Dar kama posta?