Sisi Watanzania si wajinga sana

Sisi Watanzania si wajinga sana

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Kwa Bahati Mbaya Sana watanzania hawana muda na Vitu Vya Msingi. Kwa sasa hivi wanawaza Kibeti kwenye match Za World Cup kuliko mambo ya msingi ya Taifa Lao. Leo ukienda vijiweni story kubwa Itakuwa jinsi Richarlison de Andrade alivyoipatia Brazili Magoli kwenye mtanange wake na Serbia
🇷🇸
jana.

Twende Sawa hapa
Ukisikiliza Ripoti hii ya ajali ya Ndege utagundua vitu vingi vinavyoongelewa ni Vya Kijinga Kuliko mambo ya Msingi.

Mfano issue ya Nani alifungua Mlango wa Ndege tunaipa airtime isiyokuwa na ulazima. Hivi kufahamu aliyefungua Mlango kunatusaidiaje kuzuia janga lingine Kama Hili lisitokee tena nchini?

Haya kamati inasema kuwa boti ya uokozi Ilikuwa Doria. Hapa ni Sawa na umemwajiri Mlinzi Nyumbani kwako halafu Wezi wanakuja wanafanikiwa Kiingia halafu Mlinzi Anakuja kukueleza kuwa nilikuwa mbali Nafanya Doria.

Wakati ajali hii inatokea nilihoji ingekuwa tumevamiwa na nchi Jirani response yetu ingekuwa hii ya Kufika eneo la tukio Baada ya Masaa zaidi ya mawili?

Najiuliza ingekuwa Ndege ile ingekuwa imembeba Mfano Rais au Waziri mkuu kwa uzembe wa Uokoaji uliojitokeza kwa hawa Raia wa kawaida tungekuja na ripoti ya kitoto Kama hii?

Rais Mwinyi Aliwahi kujiuzulu kwa sababu ya Mauaji ya Vikongwe kule Shinyanga Nilidhani katika Hili angalau tungeondoka na Wawili wapishe Nafasi Zao ili watu wengine Wajifunze. Kwa Bahati mbaya tumeilipa kamati Pesa ya kwenda kuchunguza nani Alipiga Kasia Mlango ukafunguka. Waziri naye kakaa Mahali na Anasikilia ripoti hiyo ya Mchongo naye Anaita media anatueleza mambo ya Nani alifungua mlango.

Tunasikia KABISA kuwa ndege ilishindwa Kutua Mara ya kwanza ikaondoka ikarudi hivyo hili Jambo kwa nchi zilizoseriuos na Maisha ya Raia wake lilikuwa linaepulika au wangepata MSaada wa Haraka si hii futuhi tunayoelezwa hapa ya kwamba boti ilikuwa Doria, kuwa Doria ndio Kulitakiwa kulete ufanis zaidi kwenye uokozi zaidi.

Wanatuletea ripoti ya kitoto hivi kwa kuwa wanajua tuna akili Kijiko cha chai ndio Maana. Bora Wangesema boti ilikuwa Mbovu Badala ya ilikuwa Doria sasa ni Doria gani haiwezi kutambua mambo ya Msingi Kama haya?

Kama Ndani ya umbali ambao KM haifiki kutoka nchi kavu hadi ilipokuwa ajali tunafanya madudu haya jiulize Ingetokea katikati ya ziwa huko ingekuwaje. Wanajua Majibu haya akili Za Kitropick zitayakubali kwa kuwa ni akili zisizowaza Kesho watu wa akili hizi wa Kishashiba inatosha.

Huwa nacheka sana akili hizi zinapodai katiba mpya, hata matatizo ya maji na Umeme yanaanzia Hukuhuku kwenye akili Za kuwaza kushiba tu.

Ole Mushi
0629777771.
 
Mkuu, nchi yetu haijawahi kuwa serious na jambo lolote la maana, ndio maana hata ukisikiliza viongozi wengi wao ni ugoro tu, hivi fikiria kama thinking ya viongozi ni kama ya jamaa anaitwa deo sanga ama jaapipo unadhani hao wananchi wao watakuwa na hali gani kifikra? ni kweli wenzetu wazungu walishtukia tangu mwanzo kwamba ukitaka kutawala mtu mnyime elimu, na hii imefanyika makusudically sio kama wote hawana elimu hapana, elimu iliyopo ni ya mchongo watu wakariri tu bila kuwa na reasoning. Tumefikishwa hapa na wanasiasa uchwara ambao wengi wao bado role models wa vijana na watanzania wengi.

Kama hata maprofesa wenyewe wameamua kujitoa ufahamu na kushabikia mambo ya hovyo unategemea nini? KUna tatizo kubwa sana liko mahala na tumeshachelewa sana kulitibu.
 
Mkuu umeongea mambo mazito sana na uko sahihi, watanzania ni shida aisee huwa nawaza ivi watanzania kuna mdudu gani yupo kwenye akili zetu sio wasomi au wasio soma yani ni tatizo tupu

huwa najiuliza ivi usomi wa mtanzania ni nini?maana huwa sioni tija ya wasomi kwenye hii nchi ,nchi hii Ina matatizo kwenye bongo za wananchi na viongozi.

Watanzania wanasikitisha sana mpaka inatia huruma tupotupo tu
 
Thadeo Ole Mushi ni mjinga fulani anapaswa kupuuzwa doria inafanyika sehemu zenye viashiria sasa wewe ulitaka boti ya doria ikae wapi muda wa ajali?
 
Mkuu umeongea mambo mazito sana na uko sahihi, watanzania ni shida aisee huwa nawaza ivi watanzania kuna mdudu gani yupo kwenye akili zetu sio wasomi au wasio soma yani ni tatizo tupu,.
huwa najiuliza ivi usomi wa mtanzania ni nini?maana huwa sioni tija ya wasomi kwenye hii nchi ,nchi hii Ina matatizo kwenye bongo za wananchi na viongozi.
Watanzania wanasikitisha sana mpaka inatia huruma tupotupo tu
1. umasikini
2.ujinga.
3. marathi.

Lishe-Zaidi ya nusu ya Watanganyika nanakula chips , hawana virutubisho na hawawezi ku-argue critically.

Ujinga umeletwa na CHAWA [MUSIBA kigwa, etc]

marathi: Ugonjwa wa kili kwa kila mtu ambaye hujui anataka nin, nchi ipo gizani, hakuna maji, hakuna umeme na tozo zipo juu na mtu huyo hataki katiba mpya.
 
Nakubaliana na hoja yako kwa asilimia moja. Wengi wamepeleka vita vyao kwa Majaliwa ambaye kimsingi sioni kosa lake.

Hata kama Majaliwa hakufungua mlango bado anastahili kuitwa shujaa, Kitendo cha kuhatarisha maisha yake ya hata kupelekea kuzimia yeye ni shujaa.

Alafu ripoti ya uchunguzi inajikita kutaja nani alifungua mlango, na abiria baunsa aliyeshikilia mlango. Sisi tuliosoma Cuba tulifundishwa kuwa ripoti inabebwa na vitu vitano maarufu kama one Male 5Xs.

Ripoti inatuambia kirahisi tu uwanja wa ndege wa Bukoba hauna control Tower, Uwanja unaopokea ndege za abriria unakosaje control tower.

Ndege kuzunguka hewani zaidi ya dk 20 ikitafuta kutua na bado hakuna hakuna taadhari iliyochukuliwa.

Rescue boat kuwa mbali na eneo la uwanja ili hali wanajua muda fulani ndege inatua, ndege yenyewe kutua tu huwa inawekwa kwenye kundi la ajali salama.
 
Mkuu umeongea mambo mazito sana na uko sahihi, watanzania ni shida aisee huwa nawaza ivi watanzania kuna mdudu gani yupo kwenye akili zetu sio wasomi au wasio soma yani ni tatizo tupu

huwa najiuliza ivi usomi wa mtanzania ni nini?maana huwa sioni tija ya wasomi kwenye hii nchi ,nchi hii Ina matatizo kwenye bongo za wananchi na viongozi.

Watanzania wanasikitisha sana mpaka inatia huruma tupotupo tu
Kati ya masuala ninayoyatafakari na kuona fursa waliyoipata ccm, ni kuwa, wanatawala kirahisi mno hii nchi, yaani hawaumizi vichwa wala hawana haja ya kuwajibika au kufanya kazi sana ili waongoze kwa weledi na kuleta maendeleo ya nchi. Watu wa nchi hii ni hamnazo, wamepumbazwa na kukubali kuwa wapumbavu. Wizi, uongo rushwa, ushirikina unaoendelea kila uchwao, hautoi matumaini ya mustakabali wa taifa hili hapo baadae. Kila mtu anaangalia lwake, leo anaiba wapi au nini, leo adanganye juu ya nini, achakachue wapi na nini ili siku ipite, utendaji na uwajibikaji hata wa majukumu au kazi za mtu za msingi, hakuna. Ili mtu afanye kazi yake, au awajibike na majukumu yake, basi mpe rushwa, licha ya mshahara wa bure asioufanyia kazi! WaTz ni watu wagumu mno, ni mzigo.
 
Kwa Bahati Mbaya Sana watanzania hawana muda na Vitu Vya Msingi. Kwa sasa hivi wanawaza Kibeti kwenye match Za World Cup kuliko mambo ya msingi ya Taifa Lao. Leo ukienda vijiweni story kubwa Itakuwa jinsi Richarlison de Andrade alivyoipatia Brazili Magoli kwenye mtanange wake na Serbia
[emoji1212]
jana.

Twende Sawa hapa
Ukisikiliza Ripoti hii ya ajali ya Ndege utagundua vitu vingi vinavyoongelewa ni Vya Kijinga Kuliko mambo ya Msingi.

Mfano issue ya Nani alifungua Mlango wa Ndege tunaipa airtime isiyokuwa na ulazima. Hivi kufahamu aliyefungua Mlango kunatusaidiaje kuzuia janga lingine Kama Hili lisitokee tena nchini?

Haya kamati inasema kuwa boti ya uokozi Ilikuwa Doria. Hapa ni Sawa na umemwajiri Mlinzi Nyumbani kwako halafu Wezi wanakuja wanafanikiwa Kiingia halafu Mlinzi Anakuja kukueleza kuwa nilikuwa mbali Nafanya Doria.

Wakati ajali hii inatokea nilihoji ingekuwa tumevamiwa na nchi Jirani response yetu ingekuwa hii ya Kufika eneo la tukio Baada ya Masaa zaidi ya mawili?

Najiuliza ingekuwa Ndege ile ingekuwa imembeba Mfano Rais au Waziri mkuu kwa uzembe wa Uokoaji uliojitokeza kwa hawa Raia wa kawaida tungekuja na ripoti ya kitoto Kama hii?

Rais Mwinyi Aliwahi kujiuzulu kwa sababu ya Mauaji ya Vikongwe kule Shinyanga Nilidhani katika Hili angalau tungeondoka na Wawili wapishe Nafasi Zao ili watu wengine Wajifunze. Kwa Bahati mbaya tumeilipa kamati Pesa ya kwenda kuchunguza nani Alipiga Kasia Mlango ukafunguka. Waziri naye kakaa Mahali na Anasikilia ripoti hiyo ya Mchongo naye Anaita media anatueleza mambo ya Nani alifungua mlango.

Tunasikia KABISA kuwa ndege ilishindwa Kutua Mara ya kwanza ikaondoka ikarudi hivyo hili Jambo kwa nchi zilizoseriuos na Maisha ya Raia wake lilikuwa linaepulika au wangepata MSaada wa Haraka si hii futuhi tunayoelezwa hapa ya kwamba boti ilikuwa Doria, kuwa Doria ndio Kulitakiwa kulete ufanis zaidi kwenye uokozi zaidi.

Wanatuletea ripoti ya kitoto hivi kwa kuwa wanajua tuna akili Kijiko cha chai ndio Maana. Bora Wangesema boti ilikuwa Mbovu Badala ya ilikuwa Doria sasa ni Doria gani haiwezi kutambua mambo ya Msingi Kama haya?

Kama Ndani ya umbali ambao KM haifiki kutoka nchi kavu hadi ilipokuwa ajali tunafanya madudu haya jiulize Ingetokea katikati ya ziwa huko ingekuwaje. Wanajua Majibu haya akili Za Kitropick zitayakubali kwa kuwa ni akili zisizowaza Kesho watu wa akili hizi wa Kishashiba inatosha.

Huwa nacheka sana akili hizi zinapodai katiba mpya, hata matatizo ya maji na Umeme yanaanzia Hukuhuku kwenye akili Za kuwaza kushiba tu.

Ole Mushi
0629777771.
WaTz ni wajinga au si wajinga?
 
Kwa Bahati Mbaya Sana watanzania hawana muda na Vitu Vya Msingi. Kwa sasa hivi wanawaza Kibeti kwenye match Za World Cup kuliko mambo ya msingi ya Taifa Lao. Leo ukienda vijiweni story kubwa Itakuwa jinsi Richarlison de Andrade alivyoipatia Brazili Magoli kwenye mtanange wake na Serbia
🇷🇸
jana.

Twende Sawa hapa
Ukisikiliza Ripoti hii ya ajali ya Ndege utagundua vitu vingi vinavyoongelewa ni Vya Kijinga Kuliko mambo ya Msingi.

Mfano issue ya Nani alifungua Mlango wa Ndege tunaipa airtime isiyokuwa na ulazima. Hivi kufahamu aliyefungua Mlango kunatusaidiaje kuzuia janga lingine Kama Hili lisitokee tena nchini?

Haya kamati inasema kuwa boti ya uokozi Ilikuwa Doria. Hapa ni Sawa na umemwajiri Mlinzi Nyumbani kwako halafu Wezi wanakuja wanafanikiwa Kiingia halafu Mlinzi Anakuja kukueleza kuwa nilikuwa mbali Nafanya Doria.

Wakati ajali hii inatokea nilihoji ingekuwa tumevamiwa na nchi Jirani response yetu ingekuwa hii ya Kufika eneo la tukio Baada ya Masaa zaidi ya mawili?

Najiuliza ingekuwa Ndege ile ingekuwa imembeba Mfano Rais au Waziri mkuu kwa uzembe wa Uokoaji uliojitokeza kwa hawa Raia wa kawaida tungekuja na ripoti ya kitoto Kama hii?

Rais Mwinyi Aliwahi kujiuzulu kwa sababu ya Mauaji ya Vikongwe kule Shinyanga Nilidhani katika Hili angalau tungeondoka na Wawili wapishe Nafasi Zao ili watu wengine Wajifunze. Kwa Bahati mbaya tumeilipa kamati Pesa ya kwenda kuchunguza nani Alipiga Kasia Mlango ukafunguka. Waziri naye kakaa Mahali na Anasikilia ripoti hiyo ya Mchongo naye Anaita media anatueleza mambo ya Nani alifungua mlango.

Tunasikia KABISA kuwa ndege ilishindwa Kutua Mara ya kwanza ikaondoka ikarudi hivyo hili Jambo kwa nchi zilizoseriuos na Maisha ya Raia wake lilikuwa linaepulika au wangepata MSaada wa Haraka si hii futuhi tunayoelezwa hapa ya kwamba boti ilikuwa Doria, kuwa Doria ndio Kulitakiwa kulete ufanis zaidi kwenye uokozi zaidi.

Wanatuletea ripoti ya kitoto hivi kwa kuwa wanajua tuna akili Kijiko cha chai ndio Maana. Bora Wangesema boti ilikuwa Mbovu Badala ya ilikuwa Doria sasa ni Doria gani haiwezi kutambua mambo ya Msingi Kama haya?

Kama Ndani ya umbali ambao KM haifiki kutoka nchi kavu hadi ilipokuwa ajali tunafanya madudu haya jiulize Ingetokea katikati ya ziwa huko ingekuwaje. Wanajua Majibu haya akili Za Kitropick zitayakubali kwa kuwa ni akili zisizowaza Kesho watu wa akili hizi wa Kishashiba inatosha.

Huwa nacheka sana akili hizi zinapodai katiba mpya, hata matatizo ya maji na Umeme yanaanzia Hukuhuku kwenye akili Za kuwaza kushiba tu.

Ole Mushi
0629777771.
WATANZANIA wafanye kile wanachokipenda maana nafsi zao zimechoka na mambo yanayoendelea hapa nchini. Kama wanafurahia betting, music au vinginevyo waache maana hawana namna nyingine.
 
Nafikiri suala hapa ni kipaumbele cha usalama ziwani....
Lile ziwa limekuwa na ajali kadhaa kutokana na ukubwa wake, hivyo kupewa sababu eti boat MOJA ilikuwa doria haijaeleweka vizuri. Inamaana ziwa kubwa vile linalo unganisha Nchikadhaa lina boati moja ya Doria?
waTANGANYIKA wana vituko, wamenifuata INBOX wanasema ingekuwa BOTI ya CHADEMA inaenda kufanya mkutano BUKOBA ungeshangaa imekamatiwa njiani, yaani intelijensia inaona CHADEMA mapema kuliko kitu kingine chochote, watu wajinga kweli, ha ha h aha
 
aHamna kitu mm kilimiuma KamA serikali nafungua mipaka chakula wakenya wanakuja wanazka KamA vyaohuku kuna vishanshuda inasema mama anaupiga mwingi so sad vyakula vinapnda bei wPinzan wanalalama bando kupanda szo sad halafu hawa wapuuz wanataka nch sasa najua kwa nn magu alikuwa anabadili mawazir KamA chupa
 
aHamna kitu mm kilimiuma KamA serikali nafungua mipaka chakula wakenya wanakuja wanazka KamA vyaohuku kuna vishanshuda inasema mama anaupiga mwingi so sad vyakula vinapnda bei wPinzan wanalalama bando kupanda szo sad halafu hawa wapuuz wanataka nch sasa najua kwa nn magu alikuwa anabadili mawazir KamA chupa
Soko huria, kama wewe unavyopewa PEDI za bure na serikali ya MAREKANI huku wananchi wao wakiishia kununua pedi kwa bei ghali
 
Back
Top Bottom