johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Endapo Chadema itarudia Ujinga wa 2015 wa kubadili Gia angani kwa Tundu Lisu basi wajue sisi Watanzania wapenda Demokrasia hatutakubali
Kuna tetesi kwamba wale mawaziri wawili machachari waliptumbuliwa mmojawapo atagombea Urais kwa ticket ya Chadema
Tunatoa angalizo kuwa tutaweka Itikadi pembeni Ili kulinda Demokrasia
Ahsanteni sana 🐼
Kuna tetesi kwamba wale mawaziri wawili machachari waliptumbuliwa mmojawapo atagombea Urais kwa ticket ya Chadema
Tunatoa angalizo kuwa tutaweka Itikadi pembeni Ili kulinda Demokrasia
Ahsanteni sana 🐼