Sisi wazee wa MM na JF kwa ujumla group letu limepungukiwa na wadada baada ya wadada baadhi kuwa masomoni,makazini nje ya nchi na company yetu kwa sasa imepwaya hivyo tunatoa tangazo tunahitaji wadada 5 tu wakali hatutaki wazee na wadada wasiku mingi humu...maudhui nikuwa sisi ni kampany kila jumamosi ni bata kama upo committed hatukutaki...naishia hapo ukitaka unaweza kupm kwa hawa watu nilio wakopy
Jiwe Linaloishi
kipajihalisi
Paloma
KakaKiiza
Asprin
Ben Mugashe
GEORGE robart masatu
Hivyo hapo unaweza kutupia namba yako masharti usiwe na bwana mwenye vurugu uwe na bwana mstaarabu akijua uko na group la JF group anakuwa na imani mimi nawasilisha.
Nifah upo kweli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana hii.
Eti hamtaki wazee...lol
Kila la kheri wadada,ila mkumbuke,
UKITAKA KULA SHARTI NAWE ULIWE,BURE GHALI.
[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Shkamoo jazzband
Na wewe upo kwenye kundi?
Hata sijui ndugu yangu
Hapana mimi wa juzi tuuMkuu kumbe na wewe ni memba?
Nimekataliwa uanachama
Member lazima uwe ulijiunga na JF before 2009
Ooh mie nilidhani upo kwenye kundi unipitie twende wote....
Kwa vigezo hivo hata homie wako nae hayupo....
How are you by the way....
Dah...hivi uzee ni umri mkubwa au kuchoka kwa mwili?... Na unaanzia wapi?[emoji13]
45 na kuendelea
Mcheki Nyani Ngabu ataku hook up na wazee wa hilo kundi
Mcheki Nyani Ngabu ataku hook up na wazee wa hilo kundi
Dah...ajabu Sana...Kuna wengine wana 35 tu...ila choka mbaya.... wengine wana 70...bado wanawakung'uta...[emoji41]45 na kuendelea
Dah...kuzeeka sio umri....ni kupungua uwezo Fulani...[emoji41]Duuh nshazeeka tayarii......
Mzee wa manyanga ungekuwepo huko ukawasaidia kuzidownload number za wadada kwa uchawi wako mkuuKuna brand new za kumwaga labda tu vigezo viwashinde
Dah...kuzeeka sio umri....ni kupungua uwezo Fulani...[emoji41]