Sisi wazee wa JF tuna kundi letu

Sisi wazee wa JF tuna kundi letu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana hii.
Eti hamtaki wazee...lol
Kila la kheri wadada,ila mkumbuke,
UKITAKA KULA SHARTI NAWE ULIWE,BURE GHALI.
[emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Sisi wazee wa MM na JF kwa ujumla group letu limepungukiwa na wadada baada ya wadada baadhi kuwa masomoni,makazini nje ya nchi na company yetu kwa sasa imepwaya hivyo tunatoa tangazo tunahitaji wadada 5 tu wakali hatutaki wazee na wadada wasiku mingi humu...maudhui nikuwa sisi ni kampany kila jumamosi ni bata kama upo committed hatukutaki...naishia hapo ukitaka unaweza kupm kwa hawa watu nilio wakopy

Jiwe Linaloishi
kipajihalisi
Paloma
KakaKiiza
Asprin
Ben Mugashe
GEORGE robart masatu
Hivyo hapo unaweza kutupia namba yako masharti usiwe na bwana mwenye vurugu uwe na bwana mstaarabu akijua uko na group la JF group anakuwa na imani mimi nawasilisha.

Mzee Mwanakijiji?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana hii.
Eti hamtaki wazee...lol
Kila la kheri wadada,ila mkumbuke,
UKITAKA KULA SHARTI NAWE ULIWE,BURE GHALI.
[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Nifah upo kweli?
 
Nimekataliwa uanachama
Member lazima uwe ulijiunga na JF before 2009

Ooh mie nilidhani upo kwenye kundi unipitie twende wote....

Kwa vigezo hivo hata homie wako nae hayupo....

How are you by the way....
 
Ooh mie nilidhani upo kwenye kundi unipitie twende wote....

Kwa vigezo hivo hata homie wako nae hayupo....

How are you by the way....

Mcheki Nyani Ngabu ataku hook up na wazee wa hilo kundi
 
Dah...hivi uzee ni umri mkubwa au kuchoka kwa mwili?... Na unaanzia wapi?[emoji13]
 
Mcheki Nyani Ngabu ataku hook up na wazee wa hilo kundi

Hataki kunipeleka huko, anasema niende mwenyewe..... Anajuaa sitakubali kurudi.... Nipitie basi ywende wote ntarudii....

Please.....
 
Mcheki Nyani Ngabu ataku hook up na wazee wa hilo kundi

Hataki kunipeleka huko, anasema niende mwenyewe..... Anajuaa sitakubali kurudi.... Nipitie basi ywende wote ntarudii....

Please.....
 
KakaKiiza pongezi kwa kutusemea wazee wenzako wa jf group la ziada waambie akina mama sam vivi na wengine wasiwe na roho za chuki kwa wadada wapya watakao ingia zaidi ya yote wawakaribishe
 
Back
Top Bottom