Sisi Yanga ni kicheko tu: Chama, Chama, Chama Mwamba wa Lusaka. Simba wanalia tu...

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ni muda sasa toka GSM mtuambie mnamsainisha huyu Mwamba Tupeni raha wenzenu. Tupeni utamu Malizeni issue yake leo hii Chama awe wetu. Hapo ndo patakapowauma Simba.

Tumchukueni Chama kupoza maumivu ya Morrison na Larry Bwalya. Msihangaike sana Chama anatufaa na tumeshamwona mambo yake live ni bonge la mchezaji.

TUMCHUKUE CHAMA TUJE MUUNGA NA MAKAMBO.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We bro subiri majibu ya yanga,so soon
 
Bosi yuko anakusanya kusanya wachezaji wa mafungu huko kwao
 
Chama pekee ambazo mnaweza kuzimiliki kwa Sasa ni zile za 200/- wanazozipendaga watoto
 
Kumbe mnataka raha basi GSM atawapa bila hiyana.
Chama anataka kucheza Champions league
 
Ni kweli Mshabiki mwenzangu wa Yanga! Baada ya sisi kushindwa Kesi na Morrison tukakubaliana kukata Rufaa CAS lakini Nugaz barua ya Rufaa aliiandika kwa Kiswahili CAS hawakuifahamu wameikataa.
Lakini Hers kasema tutalipiza kisasi kwa kumsajili Chama.
Kwahiyo bora tu tumsajili Chama.
 
njaa na mashaka ya kula huko Yanga yamewezaje kumshawishi Senzo? Chama sio fala
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…