Sisty Nyahoza, kwanini unawafanyia mtimanyongo Umoja Party? Hujui kuwa watanzania wanahitaji ukombozi?

Sisty Nyahoza, kwanini unawafanyia mtimanyongo Umoja Party? Hujui kuwa watanzania wanahitaji ukombozi?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Umesahau wewe kama mtanzania ulishuhudia pesa nyingi za walipa kodi na Watanzania wanyonge zilikuwa zinaliwa na mafisadi wa CCM?

Ila kuna Kiongozi alikuja akawabana na hao mafisadi na akafanyiwa fitina kubwa.

Watanzania wanahitaji chama ambacho kitalinda rasilimali zao na kutetea maslahi ya wanyonge.

Sasa kwa nini unazuia Umoja party kusajiliwa?

Umoja party inakuja kuleta ukombozi.

image_search_1656542270999.jpg
 
Umesahau wewe kama mtanzania ulishuhudia pesa nyingi za walipa kodi na Watanzania wanyonge zilikuwa zinaliwa na mafisadi wa CCM?

Ila kuna Kiongozi alikuja akawabana na hao mafisadi na akafanyiwa fitina kubwa.

Watanzania wanahitaji chama ambacho kitalinda rasilimali zao na kutetea maslahi ya wanyonge.

Sasa kwa nini unazuia Umoja party kusajiliwa?

Umoja party inakuja kuleta ukombozi.

View attachment 2277010
Sukuma Gang kubalini matokeo tu
 
Huu upuuzi huwa mnautoa wapi? Ccm ilifanikiwa kupandikiza vyama huko nyuma, kwasasa kizazi kimebadilika ni ngumu kupandikizia wananchi chama.
Ni kweli na wengine wanadiriki kutoa ushauri eti wakulima wazuiwe kuuza mazao yao nje ya nchi kwa sababu kutatokea uhaba wa chakula Nchini !! Tuwaulize Hao wajanja JE HUYO MKULIMA MLIMSAIDIA KULIMA HUKO SHAMBANI KWAKE ? AU MLIMSAIDIA KUMPA PEMBEJEO ZA BURE ?? Nendeni na nyinyi mkalime kama mnataka chakula cha bei rahisi !!
 
Anatekeleza maagizo ya Rais, kama alivyokuwa akitekeleza maagizo ya Magufuli kuhusu vyama vya upinzani
 
Umesahau wewe kama mtanzania ulishuhudia pesa nyingi za walipa kodi na Watanzania wanyonge zilikuwa zinaliwa na mafisadi wa CCM?

Ila kuna Kiongozi alikuja akawabana na hao mafisadi na akafanyiwa fitina kubwa.

Watanzania wanahitaji chama ambacho kitalinda rasilimali zao na kutetea maslahi ya wanyonge.

Sasa kwa nini unazuia Umoja party kusajiliwa?

Umoja party inakuja kuleta ukombozi.

View attachment 2277010
Kama mpo serious kajichomekeni kwenye chama chochote ambacho kimeshasajiliwa na mfanye mapinduzi ya ndani kwa ndani vinginevyo hizo ni porojo tu, kama CUF ilipinduliwa na Lipumba/Magu na NCCR Mbatia kapinduliwa basi mjue shortcut ndiyo hiyo.
Angalizo: Kutoka kuwa chawa ndani ya CCM muelewe kufanyiwa figisu mkiwa kwenye opposition ni jambo la kawaida, hiyo ya kuzuiwa kusajiliwa ni 'patigazeti', movie lenyewe bado kabisa halijaanza.
 
Back
Top Bottom