uzuri wa sita kwa sita ni wakati wa majambozi, mnakukuruka kitandani hadi raha.Maana uwanja mpana.
kama ulikuwepo mzee!Hata mkimaliza ni raha tu maana mnaendelea kusnuggle pale kitandani na kuendelea na malovelove ya vijuice na kisses ali mradi raha tele π
Kwanini wana ndoa hupendelea kitanda 6 " 6 (sita kwa sita),
iwapo adha zenyewe za kulala kitanda kimoja ni hizi;
...si bora kila mtu alale kitandani kwake, au kuoana maana yake ni kulala kitanda kimoja?
[*]Mkigombana you can keep distance! Ugomvi ukiisha you can easily come closer!
[*]Kitanda kikubwa kinatoa uhuru mkubwa wa styles katika majamboz.
[*]Kwa wale wanaopenda kulala na watoto (sanasana wachanga), ni rahisi na salama kama kitanda ni 6x6 ('mibaba' mingine haikawii kulalia vichanga kama kitanda ni kidogo!)
[*]Kwa sehemu zenye mbu ukiweka chandarua kwenye 6x6 kinakaa vizuri na kuacha nafasi ya kutosha katikati hivyo unalala mbali zaidi na mbu!
Yes ni lazima kulala kitanda kimoja. Tena nashangaa hao wamelala na nguoπ!
Mi napendelea 3 kwa 6 hii ni full mbanano hata akimbilie wapi ninaye tu.
kitanda cha 6-6 ni kizuri sana kwa wanandoa na vile vile kwa single,ila kama ukipata toto bikira hapo unaweza ukakesha nayo mpaka asubuhi bila kuona kitu,ila kama ukikutana na hawa dada zetu used Tanzania,80 km kwa miaka 20,hapo utafaidi kishenzi.kwa single hapo mguu mmoja mashariki mwingine magharibi,(full kujiachia)
Wabongo tunapenda kurukiana jamani..........yaani kutajwa kitanda tu watu wote tumeenda kwenye kurukiana.............hivi niwaulize swali...........kati ya kitanda na tendo la kurukiana, ni kipi kimeanza kuwepo kabla ya kingine?
...Kwanini wana ndoa hupendelea kitanda 6 " 6 (sita kwa sita),
iwapo adha zenyewe za kulala kitanda kimoja ni hizi;
...si bora kila mtu alale kitandani kwake, au kuoana maana yake ni kulala kitanda kimoja?
Yeah,nimekusoma mkulu.Mi napendelea 3 kwa 6 hii ni full mbanano hata akimbilie wapi ninaye tu.