na Mwanamke anaoffer kwe mahusiano?Hiyo ni kauli ya mtu aliekata tamaa hakuna mapenzi bila pesa usijidanganye hata akiwa mkeo,
Wanaume mmeumbiwa kuhudumia hii haikwepeki.
Halafu kizuri lazma ugharamie Without Money No Honey.
Kupo lakini sio wajibu kwake maybe akupe tuu kama zawadi,na Mwanamke anaoffer kwe mahusiano?
Hakika
Wenye hela telee wake na mahawara zao wanaziniwa na waendesha boda boda, walimu wa gym, mashamba boy, walinzi, marioo, mabaunsa, serengeti boys/ben 10, madereva, wavuta bange etc etc money is not everything ukitumia pesa utapata makahaba tu, ambao lazma wana watu wao pembeni wanaowapenda. Hilo la mwanaume kuhudumia Mungu yupi sijui aliyeumba hayo, tangu enzi za mababu, wanawake wanalima shambani, wanachota maji, wanakata kuni, wanakamua maziwa mifugo, wanalisha mifugo etc etc kuhudumia familiaHiyo ni kauli ya mtu aliekata tamaa hakuna mapenzi bila pesa usijidanganye hata akiwa mkeo,
Wanaume mmeumbiwa kuhudumia hii haikwepeki.
Halafu kizuri lazma ugharamie Without Money No Honey.
Wenye hela telee wake na mahawara zao wanaziniwa na waendesha boda boda, walimu wa gym, mashamba boy, walinzi, marioo, serengeti boys/ben 10, madereva, mabaunsa, walinzi, wavuta bange etc etc money is not everything ukitumia pesa utapata makahaba tu, ambao lazma wana watu wao pembeni wanaowapenda. Hilo la mwanaume kuhudumia Mungu yupi sijui aliyeumba hayo, tangu enzi za mababu, wanawake wanalima shambani, wanachota maji, wanakata kuni, wanakamua maziwa mifugo, wanalisha mifugo etc e kuhudumia familiaHiyo ni kauli ya mtu aliekata tamaa hakuna mapenzi bila pesa usijidanganye hata akiwa mkeo,
Wanaume mmeumbiwa kuhudumia hii haikwepeki.
Halafu kizuri lazma ugharamie Without Money No Honey.