maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,415
- 3,213
Asalaam aleykum!
Wanabodi kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu,mimi nina kazi lakini siku zote mshahara hautoshi kwahiyo nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali.Kwa mtu yeyote ambaye ana friji au friza na yuko tayari kufanya biashara ya maziwa fresh ya ngo'mbe mimi niko tayari kumkabidhi mzigo wa maziwa hata lita elfu moja na tutagawana asilimia katika faida.
Kwayeyote ambaye anaishi dar na yuko tayari kufanya biashara na mimi basi ani PM,ambaye hana friji wala friza lakini anahitaji kufanya hii biashara nitamuwezesha kupata friji au friza.Tutaandikishiana kimkataba ili kuepusha shari.Kwa wale ambao hawana mtaji na wanataka kufanya biashara kama vile ndizi jumla na reja reja,viazi vya chipsi jumla na reja reja,karoti jumla na reja reja,maparachichi jumla na reja reja na wana sehemu nzuri ya kufanyia biashara nao pia nitawakabidhi mzigo then tutagawana asilimia katika faida.
NB;SITAFUTI HELA YA KULA, NATAFUTA MAISHA
Wanabodi kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu,mimi nina kazi lakini siku zote mshahara hautoshi kwahiyo nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali.Kwa mtu yeyote ambaye ana friji au friza na yuko tayari kufanya biashara ya maziwa fresh ya ngo'mbe mimi niko tayari kumkabidhi mzigo wa maziwa hata lita elfu moja na tutagawana asilimia katika faida.
Kwayeyote ambaye anaishi dar na yuko tayari kufanya biashara na mimi basi ani PM,ambaye hana friji wala friza lakini anahitaji kufanya hii biashara nitamuwezesha kupata friji au friza.Tutaandikishiana kimkataba ili kuepusha shari.Kwa wale ambao hawana mtaji na wanataka kufanya biashara kama vile ndizi jumla na reja reja,viazi vya chipsi jumla na reja reja,karoti jumla na reja reja,maparachichi jumla na reja reja na wana sehemu nzuri ya kufanyia biashara nao pia nitawakabidhi mzigo then tutagawana asilimia katika faida.
NB;SITAFUTI HELA YA KULA, NATAFUTA MAISHA