Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji3][emoji3][emoji3]Kuna watu wamejikunja kutoa ushauri!!!!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]We unapoteza muda kumshauri mwanaume anayejifanya mwanamke? M300 kirahisi rahisi tu? Apate m300 halafu ashindwe kupata mume inaingia akilini?
Haha alafu nilitaka kumwambia mwenyew kajikunja na post ndeeeefuuuWe unapoteza muda kumshauri mwanaume anayejifanya mwanamke? M300 kirahisi rahisi tu? Apate m300 halafu ashindwe kupata mume inaingia akilini?
Wanapoteza muda tu[emoji3][emoji3][emoji3]Kuna watu wamejikunja kutoa ushauri!!!!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hakiyani!Wanapoteza muda tu
Hahahah halafu imebidi nirudi kusoma ushauri wake,ametiririka weeee mpaka katoa na mifano juu[emoji2] [emoji2] [emoji2]Haha alafu nilitaka kumwambia mwenyew kajikunja na post ndeeeefuuu
Nakupm kama ifuatavyo.Haha alafu nilitaka kumwambia mwenyew kajikunja na post ndeeeefuuu
Tushasema wanawake acheni kutongoza, tutaanza kulinga na ss
Utakuwa na sura kama babu yako wewe muda wote unatangaza ujapata tuuh..Kama unafikiri unaitaji mke soma Post zangu za nyuma
Nimetoa nafasi tena njoo pm
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuweka halooo ni ushogaaa[emoji3][emoji3]...me dume ww
Ulizani kila mtu anakurupuka kurupuka hovyo kamamunavyofikiri?We unapoteza muda kumshauri mwanaume anayejifanya mwanamke? M300 kirahisi rahisi tu? Apate m300 halafu ashindwe kupata mume inaingia akilini?
Utakutana na [emoji359][emoji359][emoji359][emoji359]Nakupm kama ifuatavyo.
Utakutana na [emoji359][emoji359][emoji359][emoji359]
Hahahah bado tu unaendelea kumshauri?Ulizani kila mtu anakurupuka kurupuka hovyo kamamunavyofikiri?
Nilichokifanya mimi nikumpa idea nzuri ili pesa zake zizae huku akiendela kumtafuta mpendwa wake pole pole mpaka pale MUNGU atakapompa kwa sababu sio jambo la haraharaka kama anavyofikiria bali linahitaji muda mrefu na maandalizi ya kutosha.
Fixed account itamsaidia kwani pesa zake hazitaingia loss kama angeenda kufanya bishara na pia kwa kuwa ni nyingi imagine anapata riba ya asilimia 7% kwa mwezi huoni atapa mkwanja mrefu?
[emoji3][emoji3][emoji3]mwache apoteze nguvu za kuandika
Hijalishi mkuu kama ni mwanaume au mwanamke kama alivyojitambulisha!
Kweli kabisa mkuu hata zingekua trilionHata huwe na m300 × 3 shida yetu ni mbunye tuu!!