Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Chura ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanishtua mkuuMkuu swala lako nalifanyia kazi bado nataka dada aridhie kwanza usione nimekupotezea
Amma kweli wanaume wafupi ngoja tuendelee kupambana "CHINI kwa CHINI" ipo siku tu ......Aiseee wanaume wafupi mnapata taabu sana
Rafiki mbona swali langu hujibu?Asanteee
we voda washakuambia yajayo yanafurahisha! Mpk leo haupo tayar, uko serius kwel??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Date of joining JF : 6th October, 2018
7th October, 2018 unataka mume
Una shida na mke soma hapa - JamiiForums
Umri ushaenda sasa unatafuta mitandaoni
Tulia wewe[emoji382] [emoji382]Huwezi jua amepitia nini mpaka kafia tangazo..pia kaja jukwaa sahihi wewe kama hupendi usiwe unafungua kusoma hapa hujalazimishwa .
Nenda jukwaaa La Mapishi.
Mnakeraaaaaaaa.
Mapenzi yana umri??
Au ingekuwa hivyo akina Graca Michel angeolewa Na Mandela??
Wewe uliyebahatika kwa umri inaojua ni nzuri pita kinya.
Duniani mambo hayafanani
La vidole vya mikono.Na hakuna sheria wote waoe au kuolewa umri Fulani.
Mamii utapata.Wengine Wapo kukatisha wenzao tamaa Na kutwa Wapo hapa love connect. huwa najiulizaga kwani majukwaa mengine hawayaoni.Nilisema yoyote wadau wakasema niandike vigezo
Tulia wewe[emoji382] [emoji382]
mnachokera mkijiwa pm baadae mnarudi hapa kutoa mrejesho...sijui ooh sijapata aliyesahihi na bla bla kibao,Nilisema yoyote wadau wakasema niandike vigezo
Maelewano tu.Kwani shida IPO wapi kama kuna maelewano.Mbona Wahindi wanawake Ndo hulia mahali.Wanawake wanatafuta Wanaume tunapoelekea mtakuwa mnachumbia kabisa
Amma kweli wanaume wafupi ngoja tuendelee kupambana "CHINI kwa CHINI" ipo siku tu ......
hata nilichoandika hakikuhusu, hayo mapovu yako kachemshe unywe na mkate.Wewe na nani?!! Kuna vitu kama havikuhusu bora tu upite kimya.