mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
duh..!!*Sintakaa nisahau siku nilipoenda ibada katika kanisa la walokole*,
*Siku hiyo nilisinzia wakati mchungaji anatoa mahubiri jirani yangu akanigusa "ndugu amka" ile nashtuka nikamsikia mchungaji akisema "simama" mi nikasimama fasta fasta nikasikia kanisa zima wanapiga makofi mchungaji akasema ahsante sana kwa mtumishi, aya nani mwingine anaetoa mchango milion 2 kwaajili ya ujenzi wa kanisa asimamee, nakuambia nilizimia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
Kwaiyo ulipozinduka ulitoa iyo pesa ama ulizimia mazima ukafaa*Sintakaa nisahau siku nilipoenda ibada katika kanisa la walokole*,
*Siku hiyo nilisinzia wakati mchungaji anatoa mahubiri jirani yangu akanigusa "ndugu amka" ile nashtuka nikamsikia mchungaji akisema "simama" mi nikasimama fasta fasta nikasikia kanisa zima wanapiga makofi mchungaji akasema ahsante sana kwa mtumishi, aya nani mwingine anaetoa mchango milion 2 kwaajili ya ujenzi wa kanisa asimamee, nakuambia nilizimia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
Kla nkizinduka nazimiaa teenaKwaiyo ulipozinduka ulitoa iyo pesa ama ulizimia mazima ukafaa
N kuzimiaa mwanzo mwsho...Hahahahaha
Ha ha ha mkuu umeona.Ukome unajua unaushirika na shetani afu unaenda kusali na wapendwa..!
[emoji3][emoji3][emoji3] ongeza cku za kuish...Nimechekaje mpaka ofisini wananishangaa aisee
Vp hujazimia tena?Kla nkizinduka nazimiaa teena
Kwasasa kla nkioona sura ya mchungaji kuja kunitembelea nazimiaa...Vp hujazimia tena?
Dah.......sina neno*Sintakaa nisahau siku nilipoenda ibada katika kanisa la walokole*,
*Siku hiyo nilisinzia wakati mchungaji anatoa mahubiri jirani yangu akanigusa "ndugu amka" ile nashtuka nikamsikia mchungaji akisema "simama" mi nikasimama fasta fasta nikasikia kanisa zima wanapiga makofi mchungaji akasema ahsante sana kwa mtumishi, aya nani mwingine anaetoa mchango milion 2 kwaajili ya ujenzi wa kanisa asimamee, nakuambia nilizimia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*