Sitakaa Nisahau Nilipoenda Kanisa La Walokole

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kwaiyo ulipozinduka ulitoa iyo pesa ama ulizimia mazima ukafaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Acha bongo movie za kuzimia ovyo pumbafu kalipe den
 
'nani mwingine' nilivoelewa mimi ni kuwa wewe ulitoa mil 2 afu kuna mtu mwingne nae atoe mil 2! Je Wewe Ulitoa Hyo Mil 2?????
 
Lipa kwa awamu mkuu,hiyo ni nadhiri!

Ni sawa na mtu aliyekula hela ya mgombea alafu akaahidi kumpigia kura na mwisho hakumpigia,lazma aisome namba
 
Lipa kwa awamu mkuu,hiyo ni nadhiri!

Ni sawa na mtu aliyekula hela ya mgombea alafu akaahidi kumpigia kura na mwisho hakumpigia,lazma aisome namba
kuna jamaa anapita mtaani kashusha vioo vya gari afu ndani yupo na heineken kibao anakunywa.kaweka wimbo "MBELE KWA MBELEEE!" Afu anapita kila kwenye ofisi za kijani na njano! anaongeza sauti "TUMEIPENDA WENYEWE"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…