Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,
2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.
3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc
4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.
5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,
6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.
AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.
3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc
4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.
5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,
6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.
AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.