Sitaki affiliation yoyote na AZAM FC, ushabiki nimeacha na jezi nimechoma

Sitaki affiliation yoyote na AZAM FC, ushabiki nimeacha na jezi nimechoma

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
 
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Umehamia timu Gani Sasa?
 
Hebu tulia utusimulie vizuri. Hayo matokeo mlivyokuwa mnayapanga huko magetoni, na nini shida, wamekunyima mgao au?🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
 
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Kipindi Cha Stewart Hall Azam ilikuwa Azam kweli. Ila kwa sasa naona wanafanya maigizo ya mpira. Ile timu ukiibadilishia jina la timu na uongozi inacheza CAF hatua za mtoano.
 
Mkuu hilo ni tawi la Simba,ondoka huko haraka!
 
yanga au simba.

soon nita chagua mmoja. azam FC sio club . uwezi kuwa shabiki wa club matokeo wanapanga ghettoni

dah, pole mkuu

jamaa mmoja aliniambia ktk mpira timu ikifungwa shabiki anaumia kuliko mchezaji
 
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Umeliwa pesa ngapi kwenye kamari (betting)?
 
Kwa hyo hata like shoot lililogonga besela lingezama Azam wangekataa kwa sababu walikuwa washapanga matokeo?acheni husda...ni kama mshaona mbio za ubingwa zinaenda kuwa ngum due hamkutarajia Simba kuifunga Azam
💀 shabiki kama wewe siwezi jibu.

hata macho yako ayaoni, what's fair what's not fair.
ukweli bado utaukataa.

azam fc ni timu ya kupuuzwa, useless.

move on. tuishie hapo
 
Back
Top Bottom