Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Wameboa kinomaKipindi Cha Stewart Hall Azam ilikuwa Azam kweli. Ila kwa sasa naona wanafanya maigizo ya mpira. Ile timu ukiibadilishia jina la timu na uongozi inacheza CAF hatua za mtoano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameboa kinomaKipindi Cha Stewart Hall Azam ilikuwa Azam kweli. Ila kwa sasa naona wanafanya maigizo ya mpira. Ile timu ukiibadilishia jina la timu na uongozi inacheza CAF hatua za mtoano.
Wamezinguadah, pole mkuu
jamaa mmoja aliniambia ktk mpira timu ikifungwa shabiki anaumia kuliko mchezaji
Tatizo lako unajisahau sana wewe tokea lini ukawa Azam.nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,
2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.
3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc
4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.
5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,
6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.
AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
We fukara mmoja huna msaada wowote kwa Azamnilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,
2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.
3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc
4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.
5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,
6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.
AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Kumbe,usikute huyu nae alibetiJana Azam ilibidi ishinde watu Simba imeshinda wamevuna mamillioni Jana makampuni ya kamari mengi yameliwa hela nyingi sana
Karibu Dar Young Africans maana tunaenda kuchukua CAF Champions League 24/25yanga au simba.
soon nita chagua mmoja. azam FC sio club . uwezi kuwa shabiki wa club matokeo wanapanga ghettoni