Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Salamu Wakuu
Hongereni kwa kuona mwaka mwingine tena
Kama kichwa kinavyojieleza hapo
Mimi ni mwanafunzi wa A level mkoani arusha kijana mdogo kabisa mawazo yangu yote niliaminishwa ajira yenye heshima na mshahara Mzuri ni udaktari hivyo nilisoma tokea shule ya msingi mpaka Kidato cha nne nikiwaza kuwa daktari sio kwamba nilipenda ila mshahara tuu
Leo nimeamua kurudi kwenye ndoto zangu za Ujasiriamali na Umri wangu huu wa miaka 18 udaktari nawaachia wenye wito huo na malengo hayo mimi naanza ufugaji wa mifugo kuanzia leo na haka kamtaji kangu 500k
NB
Sitaacha kusoma PCB kwa moyo nategemea 2020 nikimaliza Kidato cha sita niwe najitegemea nisile kwa Baba tena nikiwa na miaka 20
Maombi yenu Wakuu na mitazamo yenu
MUHIMU
Nimeacha forex kuanzia leo naishukuru kwa kidogo ilichonipa sasa nitafanya Ujasiriamali (unaogusa jamii)
Salute again
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongereni kwa kuona mwaka mwingine tena
Kama kichwa kinavyojieleza hapo
Mimi ni mwanafunzi wa A level mkoani arusha kijana mdogo kabisa mawazo yangu yote niliaminishwa ajira yenye heshima na mshahara Mzuri ni udaktari hivyo nilisoma tokea shule ya msingi mpaka Kidato cha nne nikiwaza kuwa daktari sio kwamba nilipenda ila mshahara tuu
Leo nimeamua kurudi kwenye ndoto zangu za Ujasiriamali na Umri wangu huu wa miaka 18 udaktari nawaachia wenye wito huo na malengo hayo mimi naanza ufugaji wa mifugo kuanzia leo na haka kamtaji kangu 500k
NB
Sitaacha kusoma PCB kwa moyo nategemea 2020 nikimaliza Kidato cha sita niwe najitegemea nisile kwa Baba tena nikiwa na miaka 20
Maombi yenu Wakuu na mitazamo yenu
MUHIMU
Nimeacha forex kuanzia leo naishukuru kwa kidogo ilichonipa sasa nitafanya Ujasiriamali (unaogusa jamii)
Salute again
Sent using Jamii Forums mobile app