Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Sasa chadema itashindaje kama mtu analeta picha kama hii nakusema hapo ni Iringa na Lisu kaifuta ccm Iringa leo hii?

Hivi ni sehemu gani Iringa kuna minazi?

Chadema hii ya Lisu ni aibu tupuView attachment 1568603
Wazee wa photoshop wanatengeneza picha za 2015 na kuja kujazana ujinga nani awape kura CHADEMAmwaka huu ni ndembendembe tu.
 

Mpuuzi ni wewe na wapindisha haki wote wa Chama Tawala waliorigwa na kuingiwa na laana ya Mwalimu Nyerere ya kukataa kusimamia misingi na malengo ya kuanzishwa kwake.

Mzimu wa Nyerere na Mzimu wa Lissu (mliyemuua Mungu akamfufua) itawatesa mpaka kaburini! Na huko kuzimu mtateseka sana nyie mnaochukia haki na kupenda vya uovu, ukatili, na uuaji.
 
Come fight me 🀜🏿
 
cdm ukiwaskiliza unaweza dhan hakuna mtu mwenye akili hii nchi, wengi wao hawajasoma! mwenyekiti hajasoma kakimbia shule, lema nae ndo usipime, yaani kwa kifupi utaishia kuonekana msukule
 
Maneno ya mtuu uumba.
Hii thread leo imekuwa ya kweli.
 
cdm ukiwaskiliza unaweza dhan hakuna mtu mwenye akili hii nchi, wengi wao hawajasoma! mwenyekiti hajasoma kakimbia shule, lema nae ndo usipime, yaani kwa kifupi utaishia kuonekana msukule
πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ₯‚πŸ₯πŸŽ€πŸΈπŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…