Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda


Hivi matusi yote ya nini? Kama huipende chadema, ingekuuwa busara kunyamaza na kuonesha hasira zako kwenye sanduku la kura.
Hii inaonesha kwamba matusi ni shehemu au ilani yanu.

Sasa unamwaga matusi humo JF kama JF ndo maadui zako, alafu MODS wananyamaza tu.
 
Hivi kuna watu wana mawazo kwamba upinzani wanachukua ikulu??[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Huyu jamaa kavurugwa kama walivyo wanaccm wote. Kila mahali wao wanatukana matusi tuu. Emb angalia alichoandika baada ya kushiba pombe
Huyo kazi yake ni kutunza vizee vya kizungu,kuvisafisha makalio pindi vikijinyea hivyo ubongo wake umeathiriwa na yale mavi anayochezea kila siku.
 

Hongera Mkuu Nyani Ngabu kwa kutambua udhaifu huo wa wanaCHADEMA humu. Tisa ni hayo uliyoorodhesha na kuchambua, kumi ni kuhusu wapumbavu wa CHADEMA wa humu JF:
√ kufurahia na kubandika nyomi wakijiaminisha kuwa tayari wagombea wao wamekwisha kushinda uchaguzi. KIOJA;
√ kujigamba kuwa kwa wagombea wao kuporomosha matusi kwenye kampeni ndio mtaji wa kura KIOJA;
√ kutokutambua nguvu ya wasanii katika kufikisha ujumbe kwa jamii nao wakikebehi ati ni kuvutia watu tu kwenye kampeni!! KIOJA;
√ kuamini kuwa lugha anayotumia mgombea wao wa Urais kwenye kampeni kuuliza maswali ya kijinga ati ni maswali magumu yasiyo na majibu, wakiilenga CCM wakati kuna vyama vingine vyenye hoja na siyo vioja
√ Hawajui kuwa kwenye kampeni za ubunge na udiwani, wagombea, hasa wa CCM wananadi Sera zilizomo kwenye Ilani zinazojibu maswali ya kijinga ya mgombea wao wa Urais. Kioja kingine hicho maana huko ndiko kwenye kundi kubwa la wapiga kura.

MWENYE KUSIKIA NA ASIKIE


Let them pound sand for all we care, while CCM are using wasanii and media (Radio + TV) to reach voters.
 
Mods wana double standards sana ,lugha anayotumia huyu nyani ingekuwa inaelekezwa CCM tayari angeshakula ban.
 
Toka ulivyoletwa mjini moja kwa moja kutokea biharamulo hadi korido za Lumumba Basi ukafikiri Ni Dar tu ndio Kuna minazi?
[emoji16][emoji16]
Mmepanic mkuu, mm natokea Iringa! Iringa na minazi wapi na wapi?
 
Mpumbavu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…