Sitaki kazi - Nikki wa Pili

Unafiki ni kitu kibaya Sana.Lakini ndugu yangu kumbuka Jambo moja katika maisha akitokea mtu akawa anaponda Jambo flani kwa nguvu zote jua Hilo Jambo analipenda sana.mfano Mimi ni mzalendo sana jua huyo ni kibaka tu.

Namshauli sasa ivi atunge wimbo unaoita NATAKA KAZI , NIMEPATA KAZI.
 
Sio kila kitu anachoimba Msanii kimemtokea au ndio imani yake!

Msanii ni kioo cha jamii hivyo anaakisi kilichopo ndani ya jamii yake.

Huo ni ujumbe mzito kwa serikali na kwa vijana wenyewe.

Tumuache MWEUSI apige kazi.
 
Kwa alivyoimba sitaki kazi hakumaanisha hataki uteuzi ..Kuna tofauti kati ya kutaka au kutafuta kazi na kuteuliwa kufanya kazi. Yeye Nikk hajaitaka hiyo kazi ya "Ukuu wa Wilaya" yeye kateuliwa na mkuu wa nchi kuifanya. Angeitaka hapo ndo tungemjaji na nyimbo Ile. Hata hivyo hakuwahi kuajiriwa Hadi alivyopata hii teuzi. Hivyo Nikk Yuko sawa
 

Hahaahaaa! Kwamba:

"mfano Mimi ni mzalendo sana jua huyo ni kibaka tu."

Hahaahaaa! Mkuu umemaliza kila kitu.

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!
 
Nikki wa Pili alikuwa akiwaponda sana watu walioajiriwa mpaka akatoa wimbo wa sitaki kazi. Alisema yeye anataka kuajiri na sio kuajiriwa.

Swali, ameteuliwa uDC. Je, atakataa?
Nani anaweza kukataa UDC wewe? Kazi yenyewe hakuomba kapewa we thubutu.
 
ni maisha tu unakuta mtu amejiajiri anacheka sn wanao tembea na vyeti kutafuta kazi alafu kazi zikitangazwa na yy anakimbizana ukimuuliza anasema sina shida hata nilikopa.
kuna wengine waliimba unaoa lini wakati wako kweny ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…