Uchaguzi 2020 Sitaki kuamini CCM hawakuyaona haya

Huu ndio ukweli wenyewe, huwezi kuiondoa CCM kwa kutegemea tu ukubwa wa mikutano ya majukwaani, zinahitajika mbinu na mikakati ya Ziada kupambana na figisu na udanganyifu ambao ni dhahiri utatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahaha,itakuwa hiyo ya mwisho
 
Hapo ndipo zipo kuwa zimeishia akili za washauri wa Rais. Kwamba Watanzania wata sahau vyama vingine na kuipenda Ccm. Akili matope.
 
Huuzi mpaka kufikia post #24 hapo kila mchangiaji yuko against na sirikali. Kama ni goli basi 24 kwa 0.
 
Magazeti yote ya Leo hayajataja mwenendo wa kampeni za Lissu jana bali wameandika kuhusu Polepole jana. Ukiona Lissu au Zitto au CHADEMA au ACT ni kwamba wanataja dongo alilotoa Polepole kwa mtu au Chama husika.
Uhuru umeminywa kwenye kila nyanja,kwa watu binafsi,magazeti,Radio na tv binafsi na za umma.Huko kote wanamsifia mkuu wa Mashetani.
 
Wadalimu hutembea na laana siku zote naona yamewafika sasa.
 
Magazeti yote ya Leo hayajataja mwenendo wa kampeni za Lissu jana bali wameandika kuhusu Polepole jana. Ukiona Lissu au Zitto au CHADEMA au ACT ni kwamba wanataja dongo alilotoa Polepole kwa mtu au Chama husika.
Hayo magazeti nadhani serikali inayanunua yote.Maana sioni Kama yatakuwa na soko Kama yalivyokuwa kipindi Cha nyumba.Halafu mheshimiwa kapumzika mbona harakati
 
Waliyaona na waliyajuwa sana ila TATIZO Mwenyekiti wao anapenda kusikia yale anayoyataka. Na kwa vile wasaidizi wake wanapenda kubakia na nyazifa zao wanamjaza UJINGA tu anaoutaka.
 
Ccm Sasa Hivi Ipo Mafichoni Ikiuguza Majeraha Kama
Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani
Ikirudi Yaani Itakuwa Na Hasira
πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
 


poleni sana maaana hata 18% ya kura hamtafika! tunajua nyie ni shangazi zake lissu kwahio hamna cha muhimu mtaongea,
 

kati ya watu nnaowajua wana mkubali lissu ni mmoja tu ambao wako kwenye mizunguko yangu na mtu mwenyewe amesema hapigia kura:

lakini pia,


nadhan heshima iwepo sasa
 
Kwamba watu wanapenda UHURU na HAKI kuliko maendeleo! Ndio maana hata mkoloni pamoja na maendeleo aliyoleta alifukuzwa? Sitaki kuamini.
 
CCM wamepwaya Sana, hawaamini mziki uliopo. Mpaka wanaropoka njia wanazotumia kupiga bao la mkono.Wasimamiz kumbe huwa wanatonywa, CCM wakuona kituo hakielewek watumwa watu wa kazi, mawakala wakizubaa tu, Kuna mawili yanafanyika kuchomekea sanduku lenye kura au kura kuongezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…