Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
Msemaji wa Simba anasema Lawi anaenda kuwa pacha na Chemalone sijatoa conclusionKwanini umetoa conclusion kuwa ni failure what if anaenda kuziba pengo la Kennedy Juma???
Yeye ni kocha?Msemaji wa Simba anasema Lawi anaenda kuwa pacha na Chemalone sijatoa conclusion
Umesema 'kama'. Ungesema pia 'kama sio'Kama usajili wa Lameck Lawi ni kwenda kuziba nafasi ya Henock Inonga basi Simba wame-prove failure, otherwise Lawi ani-prove wrong.
Mwisho nimesema "otherwise ani-prove wrong". Mlienda shule kufanya nini nyie?? Au ndio mnasoma tu heading mnakuja kukomentMtu hata hajacheza unamtia nuksi tayar bro? Mpira n uwanjan akifit anaanza na malone mbna wazawa wanacheza pia vzur huoni beki za pale utopoloni znajitahd
Sina hakika km umeelewa kilichoandikwaUmesema 'kama'. Ungesema pia 'kama sio'
Tusipende kujifanya manabii wa siku za mwisho
Yeye ni kiongozi tena msemaji wa timu what if hicho ndio alichotumwa aseme?Yeye ni kocha?
Hiyo si ni conditional sentence, mbona nimeielewa! Nilichotaka ni kwamba uelezee na otherwiseSina hakika km umeelewa kilichoandikwa
Hebu eleza ulitaka niandikeje mbona tunapangiana namna ya kueleza vitu.Hiyo si ni conditional sentence, mbona nimeielewa! Nilichotaka ni kwamba uelezee na otherwise
NdioHuwa mnapenda attention zisizo na maana🚮, kwani Lameck Lawi siyo mchezaji?
kwann unamtilia wasiwasi wakati takwimu zake za msimu huu ni bora kuliko za huyo inonga nd mana kasajiliwa unataka akuprove wrong vip tena?Mwisho nimesema "otherwise ani-prove wrong". Mlienda shule kufanya nini nyie?? Au ndio mnasoma tu heading mnakuja kukoment
Utaamini tu hata kama hutaki.Kama usajili wa Lameck Lawi ni kwenda kuziba nafasi ya Henock Inonga basi Simba wame-prove failure, otherwise Lawi ani-prove wrong.
PIA SOMA
- Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC
- Hii Dunia ina Vituko sana, eti Lameck Lawi ndiye wa kumkaba PACOME au yupo Mwingine tumsubiri?
- Beki Lameck Lawi amesaini Simba kwa ajili ya msimu wa 2024/2025
Hata Fred kaja na takwimu. Performance uwanjani ndio itaamua na sio takwimu zakekwann unamtilia wasiwasi wakati takwimu zake za msimu huu ni bora kuliko za huyo inonga nd mana kasajiliwa unataka akuprove wrong vip tena?
😂😂😂😂 Leo hana maajab wakat alikuwa akiumia mlikuwa mnakosa amani.Wabongo tunapenda sana wageni yan tuna mentality hiyo. Sasa inonga ana mzidi nini lawi tofauti na mshahara. Inonga hakuwa na maajabu yoyote.