Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
- Thread starter
- #21
Uzoefu au hujui alikuwa timu ya taifa??Kwani Inonga ana kitu gani special au zile mbwembwe za kucheza na majukwaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzoefu au hujui alikuwa timu ya taifa??Kwani Inonga ana kitu gani special au zile mbwembwe za kucheza na majukwaa?
Uzoefu alizaliwa nao, wakati anatoka kwao Congo alikua na uzoefu gani?Uzoefu au hujui alikuwa timu ya taifa??
Kwa hiyo tutakuwa timu ya kutengenezea watu uzoefu halafu waondoke?Uzoefu alizaliwa nao, wakati anatoka kwao Congo alikua na uzoefu gani?
Sitaki kuamini Lameck Lawi ndio anaenda kuchukua nafasi ya Henock Inonga
Simba mpaka sahivi wanasajili huku hawana kochaYeye ni kocha?
Unajua kila msimu kocha anae maliza msimu anatoa report ya nafasi zinazo hitaji mabadiliko?Simba mpaka sahivi wanasajili huku hawana kocha
Kila kocha ana-aina yake ya wachezaj anaowataka sababu hata mifumo uwanjani ya uchezaji inatofautiana kwa makochaUnajua kila msimu kocha anae maliza msimu anatoa report ya nafasi zinazo hitaji mabadiliko?
Nikikwambia beki zote za Geita Gold zilikuwa wazawa utaniamin??Mkuu hii mentality acha
Sijui kwanini mnashoboka na wageni namna hiyo
Lawi is better than inonga basi tu
Waamini wachezaji wenu huoni yanga sisi beki zetu?
Una point mzeeKila kocha ana-aina yake ya wachezaj anaowataka sababu hata mifumo uwanjani ya uchezaji inatofautiana kwa makocha
Simba wangetafuta kocha kwanza ndo wasajili
Jaribu kua serious kidogo tuu yani lawi alingane kiwango na Inonga si masikhara hayo unaleta 🤔Wabongo tunapenda sana wageni yan tuna mentality hiyo. Sasa inonga ana mzidi nini lawi tofauti na mshahara.
Mkuu kwa kweli una safari ndefu sana maishani mwako kama ndio hiviNikikwambia beki zote za Geita Gold zilikuwa wazawa utaniamin??
Simba walisha sema wazi, mfano enzi za marehemu Hans Poppe alishasema wachezaji wana sajaliwa na viongozi kwa kusaidiana na kamati ya usajili. Kwani kocha ana fukuzwa miuda wowote. Kumbuka ishu jya zoran Maki ambae alikuja na beki Ouattara . Akaondoka baada ya mechi tatu, je Ouattara alitumika tena zaidi ya kuuzwa.Kila kocha ana-aina yake ya wachezaj anaowataka sababu hata mifumo uwanjani ya uchezaji inatofautiana kwa makocha
Simba wangetafuta kocha kwanza ndo wasajili
Friendly reminder once you judge others without merit probably mom nakaribia kufika na wewe upo nusu ya hiyo safari. Bakia kwenye point ☝️Mkuu kwa kweli una safari ndefu sana maishani mwako kama ndio hivi