Sitaki kuolewa, naomba tuzae tu

Sitaki kuolewa, naomba tuzae tu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
"Nimemfukuzia muda mrefu, amenizungusha sana kwa kutoa visingizio vingi, mfano mimi bado mdogo, siko tayari kwa ndoa, ngoja nitafakari n.k. Hivi karibuni kafunguka na kusema hayuko tayari kuolewa labda tuzae tu.

Kungwi Sexless nimekuja kwako naomba unisaidie kuchakata kauli hii toka kwa msichana mwenye miaka 25 ambaye hajawahi kuolewa wala kuzaa (lkn ni mtoto wa single mama) Ina maana gani?""

Alimaliza kueleza mkaka mmoja ambaye ni mteja wangu.

Sasa wanaJF naombeni mnisaidie mawazo ya kumpatia huyu mteja wangu. Huyu mchumba wake analenga nini? Kwanini? Na kuna nini?

Ni mimi Sexless
 
Kumbe bado mnaoana. Huyo atakua na maisha magumu ka mfupa na wewe kakuona unaafadhari. Ukizaa nae tayari ni mtaji kuanzia huduma za mimba hadi mtoto
 
Tanzania hamna kitu kirahisi ka kumpa mimba dada wa kazii.
 
Huyo ndo ananifaa mimi kweny Mipango yangu sasa, Ni PM namba zake maana mambo ya kuoa naona Kama hayaendani na mimi kabisaaa
 
Back
Top Bottom