Mh! yaani ujumbe wako unaonesha unaishi mazingira magumu sana na yenye watu wenye hali mbaya! hama hukoIko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Huu ni Uchoyo, Ubinafsi, Uroho, Roho mbaya na mambo mengine kama hayo...πIko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Watu washalipwa wapige kampeniMwenyekiti wa Kataa Ndoa
Wazazi wetu hawakua na hela. Sisi tumesoma tunawatunza sasa hiv. Jr wangewaza kuwa hawana ktu wawithdraw wangeishije leoThatha mkuu huon kujaza watoto ambao huna uwezo wa kuwapa fyucha nao ni ubinafsi? Kile ndugu zake Ushimen wasukuma wanachofanya kuzaliana kama panya kule sio ubinafsi? Watoto wananuka umaskini unaona kabisa huyu mtoto fyucha hana unaona kabisa akifanikiwa ni muujiza wa bwana yesu
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ achana naye mjasirianyuchi yuleMoreen anajua kuwa uko hivi ?
Who told u that!Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Jitahidi uwe nako hata kamoja ka kukuliwaza ukiwa na stressIko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Unataka nijulisha jamaa yupo kaziniWatu washalipwa wapige kampeni
MapemaUnataka nijulisha jamaa yupo kazini
Nilikiwa na mawazo yanayofanana na yako ila toka nimepata watoto najiona tofauti,nimeongeza binadamu ambao nina hakika nao wananipenda kwa dhati na wapo royal kwangu!!kuwa na watoto ni baraka wanatupa sababu ya kuishi!!Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Hii dunia haina shida ya rasilimali wala population, shida ni allocation. Kama 1% percent ndo wanaohodhi utajiri wote, tatizo limesababishwa na nani kama sio hao 1%!Mojawapo ya pressing issue inayosumbua dunia sasa hivi karibia kila nchi ni poverty na income inequality au economic injustice ambapo watu wanakuwa brainwashed kwamba uchumi wa dunia na nchi unakuwa yet idadi ya masikini waliotopea na unyonyaji unaongezeka wakati huo huo 1% ya popolation ya dunia ambao ndio hao matajiri na familia zao wanaongezeka kiutajiri na kuhodhi utajiri na nyenzo kwa kasi kubwa zaidi kuliko wakati wowote ule katika historia ya ulimwengu , inasemekana kasi hii ni kubwa kuliko ya enzi za ujima ,ukabaila ,ukoloni nk , concentration of unprecedented wealth and power in hands of the few whole majority struggles in darkness of pocerty ,miseries and hopelessness na tatizo kubwa ni hilo overpopulation , watu wanazaa bila kuwa na means za kuensure better survival na future ya hao wanaowazaaa , huo ni uhayawani .
Semeni hata vitabu kidogo
Hiki kitabu kinaitwa " population bomb",Someni nondo humo ,mtoe tongotongo kwenye vichwa hivyo , dunia tunayoishi sasa si ile ya miaka ya nyuma mambo yamebadilika ,so watu mbadilishe hata mentality zenu ,acheni kufanya vitu kwa kukalili
ila Nyetto unampigia Kama kawa.π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ achana naye mjasirianyuchi yule
[emoji419]If it weren't for children I wouldn't even bother hustling for money! Za nini Sasa!!
Raha ya pesa utumbue na WANANCHI wako!
WANANCHI wangu nawaona waleee [emoji16]
πππSAFI SANA
KATAA NDOA
Pangua hoja zake bila kumuattack mkuuThat's selfishness