NN mim pia sipendi generalisation,lkn ukiwa kama binadamu unaweza kujua kitu ambacho ni kigumu binadamu mwingine kufanya,au ukiwa kama mwanamke unaweza kujua ni nini mwanamke mwenzio anaweza kufanya au kutofanya sbb na wewe unafanana nao,japo kila mmoja ana tabia zisizofanana na mwenzie.
Mfano binadamu yeyote wa kawaida anajua kuua binadamu mwingine ni kitu kigumu sana,hata kama sisi sio every human being lkn tunajua kuua binadamu mwingine ni kitu kigumu sana na wengi hatuwezi lkn wapo wachache wetu wanaweza kufanya,na wanapofanya tunawashangaa kuwa wana mioyo ya aina gani mpaka wameweza kufanya hivyo.
hivyo sihitaji kuwa every woman kujua kuwa haiwezekani kwa mwanamke aridhie mpenzi wake ampende mwanamke mwingine.