hehehehe!Na aliye mwehu kuliko wote na aseme wanavyo-ongeza vocha na kubadilisha line wakiwa chumbani.
Dawa mseto kaenda wapi? Klorokwini nafikiri anaweza kutueleza
Hizi kuta nne naona zinaficha meeeeeengi sana.Bora tusiyajue maana tunaweza kuathirika na masiri mazito ya kuta 4.
nje ya nyumba utasikia:
''tigo haramu,sitaki kusikia...''
''mimi mke wangu hathubutu kunipiga...nitaua..''
INGIA KWENYE HIZO SIRI ZA NDANI...hahahaha
nje ya nyumba utasikia:
''tigo haramu,sitaki kusikia...''
''mimi mke wangu hathubutu kunipiga...nitaua..''
INGIA KWENYE HIZO SIRI ZA NDANI...hahahaha
Kuna msomi mmoja nimemsoma website moja analia na msomi mwenzie ,dharau manyanyaso na majigambo msomi wa kike anamnyanyasa wa kiume
Na ni kwa sababu hiyo tuu,ndio maana hata nyumbani ukisikia chumbani basi wanamaanisha chumbani kwa baba na mama,vyumba vingine nilazima pawe na jina la pili,yaani chumbani kwenu,kwetu,kwao na kuendelea.Ila chumbani ni kule kufichwako mambo mengi zaidi kwa starehe zaidi.
kuta nne zina mambo mazito mamii!....Geoff Mbona unaua bendi
basi tujikite ndani ya maandiko matakatifu TIGO ni dhambi
si ndo mamabo ya sodoma na gomora haya jamani?
Hivi kuna watu wanawaomba tigo wake zao? looo! Shame on them.Wauaji wakubwa.
hehehehe!Wewe unashaurije? Waende wakaombe tigo nje ya ndoa?
Kwani ukikosa tigo utakufa? halafu mie nashangaa sana mbona ZAIN, VODA,ZANTEL hadi SASATEL ZIPO fULL NETWORK? Yani hii SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi kweli.Nadhani mvua ya moto ipo jirani sana, watu tunabadili matumizi ya ASILI yenye raha zaidi tunatafuta laana.mweeeeeeeeee!Wewe unashaurije? Waende wakaombe tigo nje ya ndoa?
Una uhakika STAREHE zaidi? nadhani ni virce versa ya starehe,kero zaidi,au maumivu zaidi.
Kwani ukikosa tigo utakufa? halafu mie nashangaa sana mbona ZAIN, VODA,ZANTEL hadi SASATEL ZIPO fULL NETWORK? Yani hii SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi kweli.Nadhani mvua ya moto ipo jirani sana, watu tunabadili matumizi ya ASILI yenye raha zaidi tunatafuta laana.mweeeeeeeeee!
Kutokana na statement hii unajifunza nini,nafikiri x-pin anahitajika hapa.
Haiwezekani ZD,yanayofichwa na kuta nne za chumba kile starehe uwa zina outweigh kero na hayo maumivu,believe me, la sivyo wangekuwa wameshatoka.
Hiyo tigo inaonekana kama vile imekuwa ''fasheni'' tu ya wadada wa siku hizi na si vinginevyo! Na ndio maana hata ''thread'' hii, pamoja na mambo mengine, imeanzisha mjadala wa tigo.
Angalia nani kaianzisha? Ni mdada!
Hahahahaa eti madada!???,yani umetoka nje ya laini.Kwani umewahi kusikia mashoga wanawake?Wanaume ndo waanzilishi na waendelezaji wa tigo.
hehehhee! Iam INDEPENDENT WOMAN! thank JESUS!
Muumini kweli aliimba;
Nilipokwa mtoto nilikuwa najiulizaaaa.....
haya mapenzi ni kitu ganiiiiiiiii
wengine walisema mapenzi yanauaaaaaa
niliogopa sanaaaaaaaaaaaa...........
Tatizo ni Adamu na Eva kula tunda.hivo hata kama kuna kero,uchungu,maumivu na kifo ni lazima tuyavumilie kwa vile ndivyo tulivyo.