Sitaki kuwa sehemu ya takwimu...

Sitaki kuwa sehemu ya takwimu...

your the kind of person i'm looking for, naomba address yako if there is still vacancy.


KwayuG, umejiandaa vyema kweli maana kuna Nyani na mtandao wake wa kumfikisha ikulu, ameshamwaga na pesa za wafadhili watu wapo kazini!


Annina
 
KwayuG, umejiandaa vyema kweli maana kuna Nyani na mtandao wake wa kumfikisha ikulu, ameshamwaga na pesa za wafadhili watu wapo kazini!


Annina
hatimae umeamka............😀
 
hatimae umeamka............😀

Watu walioko nchi za magharibi ndio masaa yao haya ya kuingia mtandaoni. Ukichanganya na mabarafu yanavyowatesa mwaka huu, mbona balaa!
 
...annina yupo sahihi jamani.
naomba mumuache afikirie proposal yangu jamani
KUPENDWA NDIO HUKU,KUPENDWA KUTHAMINIWA


Geoff, bora umewambia walikuwa wananitisha eti unakusanya michango tu halaf utaishia na kuniacha kwenye takwimu!

Annina
 
Kutokana na statement hii unajifunza nini,nafikiri x-pin anahitajika hapa.

Haiwezekani ZD,yanayofichwa na kuta nne za chumba kile starehe uwa zina outweigh kero na hayo maumivu,believe me, la sivyo wangekuwa wameshatoka.
Nipo ndugu yangu! Nahitaji kufanyiwa plastiki sajari!
 
Ann je ungependa kuwa miongoni mwa wanawake wanaonyanyaswa na waume zao? at its among the 'list ni ndefu'

Mj hapana mpendwa, hii ni two way traffic. Nimejizungumzia mimi sababu usimfanyie mwenzio usichopenda kufanyiwa.

Asante sana,

Annina
 
.....Hiyo twakimu ya wanawake wasomi wasioolewa huwezi kuingia shost, kuna wasomi wanaume wanatafuta wasomi wenzao wanawake. So don't worry about that!!
Cha msingi usiwe na maringo na usomi wako.

He!he!heeee.........nimeipenda sana hiyo Pretty! Kuna mtu analia sana, now bcoz of that......lkn wapi maji yashamwagika.......!

Umekula ile kitu wapwa wanapenda,tena ya kwanza from NL....just go & audit.....!
 
He!he!heeee.........nimeipenda sana hiyo Pretty! Kuna mtu analia sana, now bcoz of that......lkn wapi maji yashamwagika.......!

Umekula ile kitu wapwa wanapenda,tena ya kwanza from NL....just go & audit.....!
HEHEHE!
homuboizz bana....
we haya tu
 
HEHEHE!
homuboizz bana....
we haya tu

Serious homu boizz......unakumbuka siku ile nakwambia nipo ''mabible'' hostel....kabla hatujakutana pale Shekilango?.....bac huyo raia aliniita huko....kalia sana..anafanya MBA.....! ha!ha!ha!ha!aaaa
 
tar 13 kama kawa,
MILA KAMA ILIVYO ADA


Si ndio hapo, halafu huyu Masaki nae kala pesa za nani maana naona anataka kama anataka kutimu vumbi vile...


Annina
 
sasa wewe ndio wa ukweli, mi ntaenda hata kwa sheikh hayaha atabiri kuwa mi ndo the winner and i disev to take it all. coz nitajisikia vibaya sana kama utadondokea kwenye mikono ya wapenda tigo wakushawishi wakuharibu .u never know ! sikutishi lakini.


Nyani pls usifike huko kwa sheikh usije ambiwa siku yako ya kufa imefika ikawa tabu hapa na mchakato ukaishia hewani...Lizy na Ngoshwe watakosa kazi


Annina
 
Serious homu boizz......unakumbuka siku ile nakwambia nipo ''mabible'' hostel....kabla hatujakutana pale Shekilango?.....bac huyo raia aliniita huko....kalia sana..anafanya MBA.....! ha!ha!ha!ha!aaaa
hehehehe!
avangi vaviveemba apangi SHULE NALAMU SAANA!...
ING'AANI EEH IDZSI NALAAMU SAANA
 
Sasa hao wanaotangaza ndio wanaofanya akina Annania kuapa kutotoa tigo.... 🙂 Wanaharibu utamu 🙂


Masaki jamani kwanini unanifanyia hivyo...unataka nikifika huko kwa kuta nne nidaiwe tigo kisa zinaficha mengi?


Annina
 
Masaki jamani kwanini unanifanyia hivyo...unataka nikifika huko kwa kuta nne nidaiwe tigo kisa zinaficha mengi?


Annina

Hapana, simaanishi hivyo! Ila tu nilikuwa najaribu ''ku-challenge'' hiyo ''item'' ya inayohusiana na mambo ya tigo kwenye listi yako ya vitu usivyovipenda!

Nadhani nimeeleweka!
 
Hapana, simaanishi hivyo! Ila tu nilikuwa najaribu ''ku-challenge'' hiyo ''item'' ya inayohusiana na mambo ya tigo kwenye listi yako ya vitu usivyovipenda!

Nadhani nimeeleweka!


Masaki, umeeleweka. Nashukuru kwa ufafanuzi, ukweli bado unabaki palepale tigo ni big NO!


Asante sana,

Annina
 
Back
Top Bottom