Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatimae umeamka............😀KwayuG, umejiandaa vyema kweli maana kuna Nyani na mtandao wake wa kumfikisha ikulu, ameshamwaga na pesa za wafadhili watu wapo kazini!
Annina
hatimae umeamka............😀
...annina yupo sahihi jamani.
naomba mumuache afikirie proposal yangu jamani
KUPENDWA NDIO HUKU,KUPENDWA KUTHAMINIWA
Nipo ndugu yangu! Nahitaji kufanyiwa plastiki sajari!Kutokana na statement hii unajifunza nini,nafikiri x-pin anahitajika hapa.
Haiwezekani ZD,yanayofichwa na kuta nne za chumba kile starehe uwa zina outweigh kero na hayo maumivu,believe me, la sivyo wangekuwa wameshatoka.
tar 13 kama kawa,Yeah, naona tu watu wanavyofurahia hiyo tarehe 13 wanadhani MILA haitadumishwa... hope Nyani bado kalala!
Ann je ungependa kuwa miongoni mwa wanawake wanaonyanyaswa na waume zao? at its among the 'list ni ndefu'
.....Hiyo twakimu ya wanawake wasomi wasioolewa huwezi kuingia shost, kuna wasomi wanaume wanatafuta wasomi wenzao wanawake. So don't worry about that!!
Cha msingi usiwe na maringo na usomi wako.
HEHEHE!He!he!heeee.........nimeipenda sana hiyo Pretty! Kuna mtu analia sana, now bcoz of that......lkn wapi maji yashamwagika.......!
Umekula ile kitu wapwa wanapenda,tena ya kwanza from NL....just go & audit.....!
HEHEHE!
homuboizz bana....
we haya tu
sasa wewe ndio wa ukweli, mi ntaenda hata kwa sheikh hayaha atabiri kuwa mi ndo the winner and i disev to take it all. coz nitajisikia vibaya sana kama utadondokea kwenye mikono ya wapenda tigo wakushawishi wakuharibu .u never know ! sikutishi lakini.
hehehehe!Serious homu boizz......unakumbuka siku ile nakwambia nipo ''mabible'' hostel....kabla hatujakutana pale Shekilango?.....bac huyo raia aliniita huko....kalia sana..anafanya MBA.....! ha!ha!ha!ha!aaaa
hehehehe,Si ndio hapo, halafu huyu Masaki nae kala pesa za nani maana naona anataka kama anataka kutimu vumbi vile...
Annina
hehehehe!
avangi vaviveemba apangi SHULE NALAMU SAANA!...
ING'AANI EEH IDZSI NALAAMU SAANA
hehehehe!Hakuna homu boi......Sonzo tu si shule have!
Masaki jamani kwanini unanifanyia hivyo...unataka nikifika huko kwa kuta nne nidaiwe tigo kisa zinaficha mengi?
Annina
Hapana, simaanishi hivyo! Ila tu nilikuwa najaribu ''ku-challenge'' hiyo ''item'' ya inayohusiana na mambo ya tigo kwenye listi yako ya vitu usivyovipenda!
Nadhani nimeeleweka!