Not alway like that bana, uliniona jana lakini??hukuweza kutofautisha ma appearance ya leo na siku ya mziko ya mh. Mc Lema? na pia ile ya Mhe. Ka......w....a....w...a?.
Cha msingi Annina, don't preach wht you can't practice shosti. Hata mungu ukimwomba usimwombe kusaidia "kuikwepa dhambi" ambayo ushaitenda na unaipenda!......akikusaidia kuepukana na kutoa "tigo" umwmbe uwe unatoa "voda" (tandao wa jamaa kwa sana).
ukitaka akuepushe na kuto mnyanyasa mumeo, umwombe pia akupe mume "kuburi asiependa kunyanyasika" au vinginevyo au anajishughulisha kidogo manake akiwa vile tena hata ndoa yeyewe hutaipenda .....ukimba usiwe mwanamke msomi mwenye mbwembwe za kutojali familia, omba akupe hekima ya mwanamke msomi ambaye anajali, kuheshimu na kutatua matatizo au shida za marafiki za mumeo pasipo kujali sura, dini, elimu, kabila, rangi wala asili yake. hapo pia utakuwa umemsaidia rafiki yangu Nyani!