Sitaki kuzeeka

Sitaki kuzeeka

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
 
Namba ya siri ya benki,ya simu utaficha fedha utaficha uzee aufichiki ata machache na pesa zote alijitaidi kuficha jk brothermen uzee umeisha mufunika tafuta cha kuficha sio uzee aufichiki.
 
Dah hapo pamoja na yote hayo mkuu kama huna pesa pia ukiwa na stress aisee huwezi kufanikisha mpango wako yani utakuwa babu tu.
Ni kweli mkuu fedha ikikosekana lazima shavu lianguke kwa kasi zaidi.
 
Namba ya siri ya benki,ya simu utaficha fedha utaficha uzee aufichiki ata machache na pesa zote alijitaidi kuficha jk brothermen uzee umeisha mufunika tafuta cha kuficha sio uzee aufichiki.
ha ha ha ha ni kweli mkuu
 
Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
Lengo lako hasa ni lipi hutaki kuzeeka
 
Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
Eat chiaseed you won't regret for yr healthy.
 
Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
Nadawa ya kienyeji unakuwa mdogo sana kama katoto kasecondary.
Naniposerious bei ni laki 350
 
Back
Top Bottom