Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Itabidi kupambana kuupunguzaUmeona?????
ha ha ha haina madhara?huyo aliyeitengeneza hajazeeka?Nadawa ya kienyeji unakuwa mdogo sana kama katoto kasecondary.
Naniposerious bei ni laki 350
Zotejinsia gani
ha ha ha haNenda kwenye ile mashine alio lala MICHAEL JAKSON
Ni kweli mkuu,uzee tunautambua kwa umri au namna mwili ulivyochoka?hakuna anayependa uzee..cha muhimu ni maandalizi...ukifika time ni kutumbua tu..kungoja kifo...lol...usifanye mambo yanayokinzana sasa hivi ujanani..ili roho yako isisumbuke uzeeni..lol
Yupo fiti anamiaka 120 ila anaonekana ana 40 sasa wewe tania na mimi nipo serious .ha ha ha haina madhara?huyo aliyeitengeneza hajazeeka?
Niletee hapa naisubiriYupo fiti anamiaka 120 ila anaonekana ana 40 sasa wewe tania na mimi nipo serious .
Wewe haupo serious na utofautishe kabisa katoto kazuri kalikuwa kadogo sasa katoto kazuri kakuwa na nipo serious ninachosema tufunge mada kama haupo serious .Niletee hapa naisubiri
Nipo siriazi (in box)Wewe haupo serious na utofautishe kabisa katoto kazuri kalikuwa kadogo sasa katoto kazuri kakuwa na nipo serious ninachosema tufunge mada kama haupo serious .
ha ha ha zaidi ya 35Kwan saiz unamiaka mingapi..
Tuanzie hapo
Naskia bibie we bado mbichii chuchu SAA 6Uzee hauna budi kuja kama utakuwa umejaliwa umri mrefu,.ni kama kifo tuu kama umezaliwa lazima ukufe,.
ha ha ha nimeshatekeleza tayari mkuu nikashushia na maziwa mtindi.Saga chupa hafu meza
Ilinisaidia sana kabla sijafa
Duh,Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
Vipi, unataka kuzeeka?Duh,
Natumaini nitafika huko.....ni sawa na mtu anayefanya mtihani akitegemea kufauluCha msingi mi naona ungemwomba Mungu ufike hata hiyo miaka 50